Huu uongo
Dr sehemu ina maduka mawili ya Mpesa, nauli 6k kuifikia benk hiyo ni sehemu ya kusema sijawahi kuona au kufika eneo kama hilo, u r kidding brother,
mimi niliwahi fika mahala huko Mbeya tukampa mzee lift kwenye escudo, baadae tunamshusha anauliza huyu mnamchinja akiwa na ukubwa gani? hapo ni full kinyaki anajua lile gari ni mnyama!