The Lonnie
Member
- Sep 3, 2024
- 12
- 26
- Thread starter
- #101
Kinachohitajika ni ushauri awe yeye au mimi sio tatizo ila thread inaomba ushauriNi wewe mwenyewe sio mwana .Unaogopa kujitanabaisha kazi Yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachohitajika ni ushauri awe yeye au mimi sio tatizo ila thread inaomba ushauriNi wewe mwenyewe sio mwana .Unaogopa kujitanabaisha kazi Yako?
Anza kulima mkuuu yaaanza anza kufanya shughuli hapo lima kisomi ili uwe busy .....pia kila hakikisha kila weeekend unaenda eneo la mjini kupunga upepoNiulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.
Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.
Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi
CHANGAMOTO kwnye hili ni wenyeji wenyew hawapataki nyumban kwao au vijijin kwao. Mfano Nina bro Wang ni mwalimu anapat tabu San katik majukum yake sabb ameajiriw mwak 2020 mwalimu mkoani MARA. lkn ni mweneji WA Dar kuanzia secondary adi chuo na hakuwai kuwaz Kam ataishi mara anafatilia uhamisho San. Lkn bahati nzuri kuw watu tunafamiana tena tulipata zaidi ya wa5 wenyeji mara na maeneo ya karibu amabo wote ni walimu ili wafanye njia ya kubadilishan yey aje mikoa ya karb na kwao ili wao waend nyumbn kwao kabis. Lkn huwez amini wote hawapataki nyumban kwao kabisa.Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.
Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Familia za kishua hizo , Malezi hayafanani na ya kwako wewe unaodunduliza.Sijawahi lelewa na Baba yangu kipumbavu na kimayai kama huyo mwanao na Wala mtoto wangu siwezi mlea kijinga hivyo.
Akileta huo ujinga aondoke kabisa nyumbani siwezi kuishi na Watoto mizigo.
Nani amekwambia Duniani Kuna mteremko? Yaani ushindwe Serikalini ndio mtaani ataweza ghasia za TRA,maafisa biashara,Watendaji na taasisi zingine? Au fitina za biashara?
Asije Sasa Kulalamikia humu ampe pesa kama anavyotakaFamilia za kishua hizo , Malezi hayafanani na ya kwako wewe unaodunduliza.
PHD umeongeo pweint.Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.
Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Baba Junior umekuzaMwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Huyo atafute bwana tuMsomi ana mind set ya kuajiriwa, ameajiriwa anaona ni tofauti na expectations zake. Sehemu yenye maduka mawili ameshindwa kugeuza challenge kuwa fursa, hatutoacha kulalamika hadi hapo tutakapobadilika mind set!!
Kwann akakope wakati anaweza kubeba laptops na vifaa vinginevyo akaenda kuuza?Miaka mi3.….mmoja tu...akope atambae
Kuna ticha yuko Morogoro. Unaambiwa ili afike Moro town inamtoka 45.Huyu amenyeka, hajakutana na mazingira magumu, hapa tunaongelea vijijini, ukitaka kuangalia mpira kibanda umiza au kunywa bia nauli kwa bodaboda 20,000 kwenda na kurudi
Achaa uchuro mazee hakuna mtoto wa kudeka, umeombwa ushauri km mtu mzima do it uez shutHuyo atafute bwana tu
100%Ajira amekwisha pata anatakiwa atafute kazi ya kufanya akiwa kwenye ajira.
Teacher evelynFirst appointment nlikua(ga) bush huko, usiku nikilala ni fisi tu nasikia wanakimbia kimbia uwanjani huku wanajichekesha......
Bora ulipwe mshahara mdogo unakuwa na nidhamu ya pesa kuliko mshahara mkubwa.Ajira ya ualimu haina fedha mwanzoni. Mwambie avumilie mbele ni kutamu zaidi.
Ila mkumbushe hata akipata kazi ya ndoto yake na akalipwa mamilioni, fedha huwa haitoshi kutokana na matumizi yako lakini ukilipwa kidogo inaweza kutosha kutokana na matumizi yako pia.
"Aishi kwa malengo" zingatia Hili kuliko hayo ya juu.
Afande EveTeacher evelyn