Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Mbona kama amechelewa kuacha au umechelewa kuacha me niliacha mwaka juzi sahivi kipato changu kwa mwezi milion 2.5 naishi fresh safi kwahiyo mwambie aache mapema ili ajipange au uache mapema angali kijana
 
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?

Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.

Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.

Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi
Anza kulima mkuuu yaaanza anza kufanya shughuli hapo lima kisomi ili uwe busy .....pia kila hakikisha kila weeekend unaenda eneo la mjini kupunga upepo

Lima lima kwa bidiii tafuta mtaji ndo uache kazi kijijini ukiwa mwalimu unaheshimika unaweza hata limiwa bure

Kama madem tafuta vilivyomaliza four pia age viwe 18 miaka ili vikuburudishe mwalimu kuwa navyo hata viwili hivi vya kitengo cha buradani kwa mwalimu

Nunua tv za solar ukirudi uwe kama uko mjini
Lima lima miaka minne ndo utoke ukiwa na mtaji au hela kuhonga ili upate uhamisho wa kuja mjini
 
Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.

Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
CHANGAMOTO kwnye hili ni wenyeji wenyew hawapataki nyumban kwao au vijijin kwao. Mfano Nina bro Wang ni mwalimu anapat tabu San katik majukum yake sabb ameajiriw mwak 2020 mwalimu mkoani MARA. lkn ni mweneji WA Dar kuanzia secondary adi chuo na hakuwai kuwaz Kam ataishi mara anafatilia uhamisho San. Lkn bahati nzuri kuw watu tunafamiana tena tulipata zaidi ya wa5 wenyeji mara na maeneo ya karibu amabo wote ni walimu ili wafanye njia ya kubadilishan yey aje mikoa ya karb na kwao ili wao waend nyumbn kwao kabis. Lkn huwez amini wote hawapataki nyumban kwao kabisa.
 
Sijawahi lelewa na Baba yangu kipumbavu na kimayai kama huyo mwanao na Wala mtoto wangu siwezi mlea kijinga hivyo.

Akileta huo ujinga aondoke kabisa nyumbani siwezi kuishi na Watoto mizigo.

Nani amekwambia Duniani Kuna mteremko? Yaani ushindwe Serikalini ndio mtaani ataweza ghasia za TRA,maafisa biashara,Watendaji na taasisi zingine? Au fitina za biashara?
Familia za kishua hizo , Malezi hayafanani na ya kwako wewe unaodunduliza.
 
Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Baba Junior umekuza
 
Msomi ana mind set ya kuajiriwa, ameajiriwa anaona ni tofauti na expectations zake. Sehemu yenye maduka mawili ameshindwa kugeuza challenge kuwa fursa, hatutoacha kulalamika hadi hapo tutakapobadilika mind set!!
Huyo atafute bwana tu
 
Huyu amenyeka, hajakutana na mazingira magumu, hapa tunaongelea vijijini, ukitaka kuangalia mpira kibanda umiza au kunywa bia nauli kwa bodaboda 20,000 kwenda na kurudi
Kuna ticha yuko Morogoro. Unaambiwa ili afike Moro town inamtoka 45.
Kuna sehemu lazima avushwe mgongoni kwa buku 2.
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣
 
Ajira ya ualimu haina fedha mwanzoni. Mwambie avumilie mbele ni kutamu zaidi.
Ila mkumbushe hata akipata kazi ya ndoto yake na akalipwa mamilioni, fedha huwa haitoshi kutokana na matumizi yako lakini ukilipwa kidogo inaweza kutosha kutokana na matumizi yako pia.

"Aishi kwa malengo" zingatia Hili kuliko hayo ya juu.
Bora ulipwe mshahara mdogo unakuwa na nidhamu ya pesa kuliko mshahara mkubwa.

I have experienced both.
 
mwambie aache hiyo kazi kutoka serikalini huku mtaani biashara ya karanga za kuchemsha mbichi au uuzaji maji ktk mkokoteni zina maslahi makubwa sana.
 
Back
Top Bottom