Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Sasa hapo mbona hajui anataka Nini?, alitegemea Nini, ninavyojua ukiamua kuwa mtu Fulani tegemea chochote kitakachokuja mbele, ni afadhali yeye ana mshahara, aangalie waliomzunguka wako na Hali gani utakuta wana Hali mbaya zaidi kuliko yy, huko ni kudeka...

Nilishawahi kwenda mahali duka ni moja tena duka lenyewe halina vitu vingi ni mafuta ya taa, dawa za miswaki, mafuta lakini Kuna wafanyakazi wa serikali walikuwa na furaha kabisa, lazima tujifunze kuadopt hamna jinsi.

Asiache kazi otherwise ajue pa kwenda hivyo kama Hana basi Akomae miaka yake then atajua Yuko wapi, mtaani Ili uishi vizuri lazima hustler kweli kweli, kama wewe siyo winner ni Bora ubaki huko huko.
 
Ulihonga , yaani upangiwe Kituo harafu uhame kirahisi tuu? Hongo au bwanako wa mjini alihusika.

😹😹😹😹😹😹 eti bwana angu wa mjini 🤣🤣🤣🤣🤣 nmechekaaa

Tatizo sisi uvccm tunaamini katika hongo 😁😁

Sikuhonga niliandika barua nikaweka na sababu na evidence za sababu nilizotoa, nakumbuka boss aliisaini huku akinifokea kama mtoto namie nabubujikwa machozi ya kinafiki moyoni nikijisemea we tia saini bana nisepe.

Na kwa msaada mkubwa wa shemeji ako nilifanikiwa.
 
Kubebwa na baiskeli Tena!?🤭🤣🤣...mie niliponea chupuchup kuzabwa vibao na nyani ...nilikuwa na kibustani bondeni Cha figiri na Chainiz........kufika kule nakuta wamevamia kishamba Cha jirani yangu lilikuwa na njegere...si nikajifanya kuwafukuza bhana!....Weee,vikanionesha ishara ya "Utakula makofii!" Nilivyokimbia hata sielewi nilifikaje home peku🙌
Hivi ni kwann huwa hawaogopi kbs wanawake
Unakuta mwanamke akifukuza hawasogei kama ni dume anaanza kukuna poumbou 😆 ila mwanamme ukienda tuu nduki
 
Hivi ni kwann huwa hawaogopi kbs wanawake
Unakuta mwanamke akifukuza hawasogei kama ni dume anaanza kukuna poumbou 😆 ila mwanamme ukienda tuu nduki
Tena wanakuonesha na ishara ya kushika matiti....wanadharau kweli aisee
 
Hiyo ndiyo shida ya kufaulu mitihani wakati kichwani empty, inaashiria cheti chake kina uwezo kuliko kichwa chake!
Mtoto wa mama huyo anashindwa kutumia elimu yake kubadilisha changamoto kuwa fursa.
 
Akope pesa afanye biashara km yuko kijijini fulsa ni nyingi na kwa navyojua sku izo watumishi wanakopeshwa pesa nying tu
Kijijini maduka ni mawili fulsa ya kwanza akope pesa afungue duka kubwa apo kijijini

Kilimo maeneo kijijini huoatikana lkn pia kuna cheap labor alime au afuge

Kuacha kaz ni rahisi ila sasa kupata kazi ndo ttzo
Ni bora atumie fulsa alonayo kwa sasa
 
Msomi ana mind set ya kuajiriwa, ameajiriwa anaona ni tofauti na expectations zake. Sehemu yenye maduka mawili ameshindwa kugeuza challenge kuwa fursa, hatutoacha kulalamika hadi hapo tutakapobadilika mind set!!
Simple bro we unahis yeye ndo mwajiriwa pekee, amekuta watu wapo n kuna maduka ayo, inamaana walimu wengne hawajaona iyo fursa b4 yeye
 
Dr sehemu ina maduka mawili ya Mpesa, nauli 6k kuifikia benk hiyo ni sehemu ya kusema sijawahi kuona au kufika eneo kama hilo, u r kidding brother,
mimi niliwahi fika mahala huko Mbeya tukampa mzee lift kwenye escudo, baadae tunamshusha anauliza huyu mnamchinja akiwa na ukubwa gani? hapo ni full kinyaki anajua lile gari ni mnyama!
Dah
 
Back
Top Bottom