Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
😭 Nimelia sanaUsiache kwanza subiri mmpitishe 2025 hutokosa Tshirt na kofia ya kijani na zile za tume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😭 Nimelia sanaUsiache kwanza subiri mmpitishe 2025 hutokosa Tshirt na kofia ya kijani na zile za tume.
Dr sehemu ina maduka mawili ya Mpesa, nauli 6k kuifikia benk hiyo ni sehemu ya kusema sijawahi kuona au kufika eneo kama hilo, u r kidding brother,Wewe hujatembea Tanzania na kama umetembea unaishia mawilayani hufiki vijijini
Walitaka wakuchakaze uwe mwanakijiji kabisaaSa usafiri wa huko nini tena ndugu, ni mwendo wa baiskeli....tena wananishawishi namie nijifunze, kimoyomoyo najisemea tu mmh na utu uzima huu nije nivunje kiungo najifunza baiskeli akaaaah!!!!
Hahahaha Mimi nilipelekwa Wilaya inaitwa Utete! Ebwanae next day nikashukuru MUNGU nikasema sitakufa njaa ila kwa hii hapanaFirst appointment nlikua(ga) bush huko, usiku nikilala ni fisi tu nasikia wanakimbia kimbia uwanjani huku wanajichekesha......
Nimecheka sana, very soon wataanza kulipwa malimbikizo, kupandishwa madaraja, kulipwa nauli za likizo, hahahahahaUsiache kwanza subiri mmpitishe 2025 hutokosa Tshirt na kofia ya kijani na zile za tume.
Utete iko wapi?? 😁Hahahaha Mimi nilipelekwa Wilaya inaitwa Utete! Ebwanae next day nikashukuru MUNGU nikasema sitakufa njaa ila kwa hii hapana
Acha uongo wewe mtu mzima asijue kwamba gari sio mnyama acha kutupiga kamba.Dr sehemu ina maduka mawili ya Mpesa, nauli 6k kuifikia benk hiyo ni sehemu ya kusema sijawahi kuona au kufika eneo kama hilo, u r kidding brother,
mimi niliwahi fika mahala huko Mbeya tukampa mzee lift kwenye escudo, baadae tunamshusha anauliza huyu mnamchinja akiwa na ukubwa gani? hapo ni full kinyaki anajua lile gari ni mnyama!
Mmoja hatapata kahela kazur,lakin baada ya miaka 3 anaweza pata zaidi ya 10milMiaka mi3.….mmoja tu...akope atambae
Huyu amenyeka, hajakutana na mazingira magumu, hapa tunaongelea vijijini, ukitaka kuangalia mpira kibanda umiza au kunywa bia nauli kwa bodaboda 20,000 kwenda na kurudiIla kuna sehemu ukitupwa ni kama umelaaniwa. Hata ukiwa na pesa cha kutumia hamna.
Kila mtu amekulia mahali pake
Kuna mwamba alipata kazi as auditor wa TRA Lindi mjini aliripoti ila hakuishi kwa amani mpaka alipohama. Manispaa kabisa lakini jamaa alilia je, angepelekwa vijiji vya kuvuka kwa mtumbwi.
Sio rahisi hivyo kuna vijiji ukianzisha kitu ni kama umetangaza vita ya jadi hata usingizi upati tena full vibwanga..Msomi ana mind set ya kuajiriwa, ameajiriwa anaona ni tofauti na expectations zake. Sehemu yenye maduka mawili ameshindwa kugeuza challenge kuwa fursa, hatutoacha kulalamika hadi hapo tutakapobadilika mind set!!
HahahahaaHa imagine hio ni Wilaya iko mbele kushoto ya Ikwiriri, unapita daraja la mkapa, unafika eneo kuna junction panaitwa Nyamwage unapinda kulia unaacha njia ya Lindi!Utete iko wapi?? 😁
kama namjua vile jina linaanzia na S linaishia K? anapenda sana kucheza Golf now days?Mwanangu kasomea india udaktari wa moyo kafanya intership jakaya kaona wafanyakazi walivyo na roho mbaya humo jakaya na kujipendelea kaangalia mshahara kaona nayenyewe ovyo, kagoma kumalizia intership hataki kabisa anasema bora akafanye biashara yoyote ile tumebembeleza sana kagoma
Utete iko wapi?? 😁