Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?

Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri cz haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.

Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya 6k ndio unafika.
Ajilipue tuu lakini ajue kitaa kigumu sana! Afanye maamuzi sahihi asije akaja kujuta maana majuto ni mjukuu
 
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?

Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri cz haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.

Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya 6k ndio unafika.
Avumilie kwa muda tu akishaa thibitishwa kazini aende achukue mzigo afanye mambo yake
 
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?

Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri cz haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.

Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya 6k ndio unafika.
Umeelezea madaktari na ualimu, halafu ukaelezea ualimu. Ualimu sawa , ila madaktari wana nafuu, na si kweli kazi zote serikalini hazina malipo mazuri, zipo kada wanalipwa vizuri sana.
Mwambie huyo bwana kama anataka kuacha ahakikishe ana chanzo kingine , else atarudi square one hali itakuwa mbaya zaidi
 
una wazo kama langu..jambo la msingi ni kujipanga huku ukiwa unaangalia unapotaka kwenda...mfano anzisha ofc Yako ukiona imekaa sawa unaweza kufanya maamuzi lakini kama bado usifanye maamuzi ya kuacha kwanza
 
Sasa huko bush watu wamaana ndio hao, walimu, manesi, polisi, mtendaji kata, halmashauri ndo vibosile kabisa 😹😹😹
Sasa huko bush watu wamaana ndio hao, walimu, manesi, polisi, mtendaji kata, halmashauri ndo vibosile kabisa 😹😹😹
Kuna dada humu nilisikia analalamika ana bahati mbaya ya kutongozwa na wanaume below standard kumbe mchawi location.

Inasikitisha kwakweli, kuna kabinti mtaani kamepangiwa huko Kibondo Kigoma na ameshazalishwa tayari.

Halafu kinachobowa ni bora mtu wa kuanzisha naye familia lakini wengi wanazaa tu yani wanaume wanakuwa hawana future plan nao.
 
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?

Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.

Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya 6k ndio unafika.
Yeye aendelee na hiyo kazi huko huko na akamate fursa ya kuuza huduma ambazo hazipatikani huko. Akiacha kazi atakuwa mzigo kwa ndugu, rafiki, na jamaa. Aache kazi akishapata kazi nyingine.
 
Mi pia aisee☹️🤣🤣
Nakumbukaga starehe ya weekend 🤣🤣🤣

Alikuwepo mtumishi babu mmoja ndo anakaribia kustaafu, basi kila weekend anapiga simu babuu jiandae nakuijia, ananipitia ananibeba kwenye baiskeli tunaenda mnadani bia na nyama jioni ananirudisha kwangu huu ndo mtoko wa maana 😹😹😹

Kuna kero kijijini ila raha zake ni za ukweli
 
Ukiwa huna ajira utatamani nafasi ya huyu mwamba upewe wewe lakini kwa tuliotembea vijijini kuna maisha hata hiyo ajira haina maana yoyote.

Ifike wakati serikali iajili watu kutoka kwenye jamii husika wafanye kazi kwa moyo na mazingira ndio walikozaliwa hayawapi tabu
Jamii itakuwa na mawazo mgando. Kinachomshinda huyu mwalim anaishi kwa kujilinganisha na aliosoma nao au watu wake wa karibu. Anaona amechelewa.
 
Nakumbukaga starehe ya weekend 🤣🤣🤣

Alikuwepo mtumishi babu mmoja ndo anakaribia kustaafu, basi kila weekend anapiga simu babuu jiandae nakuijia, ananipitia ananibeba kwenye baiskeli tunaenda mnadani bia na nyama jioni ananirudisha kwangu huu ndo mtoko wa maana 😹😹😹

Kuna kero kijijini ila raha zake ni za ukweli
Kubebwa na baiskeli Tena!?🤭🤣🤣...mie niliponea chupuchup kuzabwa vibao na nyani ...nilikuwa na kibustani bondeni Cha figiri na Chainiz........kufika kule nakuta wamevamia kishamba Cha jirani yangu lilikuwa na njegere...si nikajifanya kuwafukuza bhana!....Weee,vikanionesha ishara ya "Utakula makofii!" Nilivyokimbia hata sielewi nilifikaje home peku🙌
 
Usiache kazi kwasababu ya maslai duni. Ila acha kama upo na mchongo mzuri kuliko hiyo kazi.

Hata hivo, Kazi inaweza kua ni assets ya wewe kupata mkopo na kufanya hizo biashara, kama kweli ni mfanya biashara, mambo ya kichanganya unasepa
 
Kubebwa na baiskeli Tena!?🤭🤣🤣...mie niliponea chupuchup kuzabwa vibao na nyani ...nilikuwa na kibustani bondeni Cha figiri na Chainiz........kufika kule nakuta wamevamia kishamba Cha jirani yangu lilikuwa na njegere...si nikajifanya kuwafukuza bhana!....Weee,vikanionesha ishara ya "Utakula makofii!" Nilivyokimbia hata sielewi nilifikaje home peku🙌
Sa usafiri wa huko nini tena ndugu, ni mwendo wa baiskeli....tena wananishawishi namie nijifunze, kimoyomoyo najisemea tu mmh na utu uzima huu nije nivunje kiungo najifunza baiskeli akaaaah!!!!
 
Back
Top Bottom