Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

Wewe huelewi hata ulichokiandika, vijiji vya Tanzania vinafanana?

Kuna mwalimu anaweza kulalamika yupo Uchagani mazingira magumu? Vijiji vina umeme na maji tangu mkoloni na walimu na mapadre wanaheshimika sana.
Vijiji vingi kama sio vyote vina changamoto ya maji, umeme, hospital na kuduma za kibenki yaani kwa ujumla vijijini hakuna huduma za kijamii kama ilivyo wilayani na mijini

Maisha ni vile unavyotaka wewe yawe sijamlazimisha mtu kukaa kijijini nimesema kwa nafsi ya umoja kuwa binafsi maisha ya kijijini nayapenda sana kwani hayo yanayoitwa maendeleo ni perception za mtu kulingana na malengo na ndoto zake
 
Vijiji vingi kama sio vyote vina changamoto ya maji, umeme, hospital na kuduma za kibenki yaani kwa ujumla vijijini hakuna huduma za kijamii kama ilivyo wilayani na mijini

Maisha ni vile unavyotaka wewe yawe sijamlazimisha mtu kukaa kijijini nimesema kwa nafsi ya umoja kuwa binafsi maisha ya kijijini nayapenda sana kwani hayo yanayoitwa maendeleo ni perception za mtu kulingana na malengo na ndoto zake
Unarudia kosa lile umetembea vijiji vyote Tanzania au unapenda maisha ya kijijini kwenu?

Wewe itakuwa hujaona mtu yupo Dar ana pesa za kutosha na hajengi kwao wasije kumtanguliza.

Wewe hujatembea, bado hujaelewa kinachojadiliwa hapa, unafanya comparison ya kijijini kwenu.
 
Unarudia kosa lile umetembea vijiji vyote Tanzania au unapenda maisha ya kijijini kwenu?

Wewe itakuwa hujaona mtu yupo Dar ana pesa za kutosha na hajengi kwao wasije kumtanguliza.

Wewe hujatembea, bado hujaelewa kinachojadiliwa hapa, unafanya comparison ya kijijini kwenu.
Wewe unatoka kijiji gani mkuu tulinganishe na ninakotoka mimi
 
Hahaha kwani ukija mjini ni jambo Gani jipya utalifanya ambalo halijafanyika Toka Dunia imeumbwa... Ningekua ww hapo ningefanya stock ya kutosha ya kitimoto na bia za kutosha Kila siku ni Bata tu...
 
Sema kuna vijiji hivyo balaa kuna kijiji niliwah kwenda huko many are ndan hukoooo daah

Hakuna umeme,
Hakuna maji

Hakuna usafr

Usipokua na pikipiki lako kazi unayo.

Ni porin

Magar yanayokuja huko ni 2 tu la MSD na yanayoleta mitihan shulen

Sasa kuishi sehemu kama hii ni changamoto sana,
 
Dahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh 😹😹😹 nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea huu mtego hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjini
Kwani lazima kuishi mjini unge komaa sasa hivi ungekua Tajir mkubwa wa uko Singida.
 
Sasa unasema vibanda vya m pesa viwli tuu huoni hii ni fulsa Wewe kufungua cha Tatu??

Kijijin fulsa ni nying sana ukiamua kuyaishi mazingira, kuyafanya kuwa fulsa.



Nunua mazao kwa bei chini uza yapandapo bei.



Kopesha pembejeo au pesa ya kilimo wakulipe mazao Baadae

Kama una akili Lakin
 
Mbaya zaidi unaweza kujikuta kwenye mahusiano na mtu siyo pigo zako kabisa.

Shem wangu mmoja aliishia kuzaa na dereva wa halmashauri halafu mume wa mtu, mpaka nikajiuliza degree mbili ndio zinakuja kuendup namna hii?
hii ni kweli kbs lkn CCM hayaelewi
 
Mbaya zaidi unaweza kujikuta kwenye mahusiano na mtu siyo pigo zako kabisa.

Shem wangu mmoja aliishia kuzaa na dereva wa halmashauri halafu mume wa mtu, mpaka nikajiuliza degree mbili ndio zinakuja kuendup namna hii?
Uko sahihi Doctor,huko bush watu wengi wanaishi maisha ambayo si ndoto zao,na future zao wengi wao wanaziharibu huko bush kwa kigezo cha ajira.
 
Hahahaha Mimi nilipelekwa Wilaya inaitwa Utete! Ebwanae next day nikashukuru MUNGU nikasema sitakufa njaa ila kwa hii hapana
Mkuu kwa hiyo uliacha? Mimi ninamiezi 8 sasa tangu nilipoacha ile kazi kule chaka,sina ninachojutia,na niko wazi kule mahala kila mtu ana hali mbaya. Watumishi wote hali zao sio njema, mazingira duni, umasikini wa kutosha.
 
Dahhh ila pwani sio mbaya sana, mie nlikua Iramba ndaniii huko yani interior Imagine Singida afu bush dahhh 😹😹😹 nikapewa shamba nilime alizeti, nkajisemea huu mtego hapa nikilima tu nimekwishaa hapa alizeti hapa mtendaji ananioa bye bye mjini
Aaaah, mbona ilikuwa balaa. Miaka ipi hiyo🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom