Ushauri: Anataka kuniharibia penzi langu jipya, nifanyeje?

Nami Nitahakikisha Nae ataahidi nisimpe mwingine na nimchape Kwa Kasi Ile Ile
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ itakuwa vizuri kama utalifanikisha hilo
 
usisahau UKIMWI UNAUA. ndio ugonjwa hatari na wa kutisha. utameza ARVs hadi kifo.
 
Nenda na Chupii πŸ‘™πŸ‘™ya Kuombea Msamaha kama huzijui kaulizie madukani ndio malegendary tunavyofanyaga mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa Jambo nzuri kama Hilo,,lazima Iwe vizuri na ni lazima kulifanikisha kiuhakika na ni Fahari pia kwangu Mimi Janamume
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Zina kamkanda kamoja kanapita hpo katikati ya ikweta na vishanga kwa mbali oyaa Subiri waje watakuelekeza chuplii za kuombea msamahaπŸ˜‚πŸ˜‚
Wenye viuno vikubwa kuna saizi zao kweli? Nisije nikampelekea ikawa haimtoshi πŸ˜€
 
Wenye viuno vikubwa kuna saizi zao kweli? Nisije nikampelekea ikawa haimtoshi πŸ˜€
Yani zote Zipo ni wewe uwahi madukani ukamnunulie hicho kifuniko cha AsaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Usije ukanyimwa utraam na mvua hizi za kupanda na Palizi za Masika mkuu ukinyimwa unaeza kufa na utamu wako kama Noah🐷🐷🐷
 
Equation x rafiki yangu una mke kweli wewe ama janja janja nyingi?
Nina wake mkuu, ingawa mmoja ndio anayetambulika madhabahuni na ndio mwenye haki zote; hawa wengine tunasaidia kuwalea na kupeana furaha, si unajua wanaume halisi tumebaki wachache sana, kwa hiyo inabidi kuwapa kampani nao wafurahie maisha.
Vipi kuhusu lile ombi langu, la kuwa mke wa tisa πŸ˜€
 
[emoji15][emoji15]Mke wa tisa? Ebu pata kiinua mgongo kwanza alafu tutaongea [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15][emoji15]Mke wa tisa? Ebu pata kiinua mgongo kwanza alafu tutaongea [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa tutafanyaje sasa, tunajua na nyie mna hisia inabidi tuwapende tu; kuhusu kiinua mgongo, nipatie kwanza watoto watatu wanaofuatana πŸ˜€
 
Sasa tutafanyaje sasa, tunajua na nyie mna hisia inabidi tuwapende tu; kuhusu kiinua mgongo, nipatie kwanza watoto watatu wanaofuatana πŸ˜€
Aiii watoto watatu wote hao jamani mbona wengi [emoji23][emoji125][emoji125]

Labda kamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…