Ushauri:Baada ya mwanaume kunipa mimba ananikwepa sana, eti niitoe

Ushauri:Baada ya mwanaume kunipa mimba ananikwepa sana, eti niitoe

Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.

Naomba ushauri wenu
Usitoe mimba..
Ukishindwa kumlea nipatie Mimi huyo mtoto tafadhali.

Huyo boyfriend muache aende zake na maisha yako lazima yaendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.

Naomba ushauri wenu
Unamiaka mingapi
 
Hakupendi na hajawahi kukupenda kama unavohisi.
Angekupenda asingeruhusu kukupoteza kisa umebeba mimba aliyoichomeka yeye kwa kutaka uitoe.
Huyo ni monster kama monsters wengine tu.
Komaa lea mimba, Mungu atakujaalia mtoto maana yeye ndie anaeruhusu uhai Wa viumbe vyote!
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.

Naomba ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I second you!
Wapo wanaojifanya wanajua kufariji kumbe wanatafuta kutatua matatizo yao tu.
Ushauri upi unaoutaka sasa ndugu na umesema haufikirii kuitoa. That means utazaa tuu no matter nini tutakachokushauriKingine....


Kipindi hichi ukipata mwanaume akajifanya anakupenda sana na yupo tayari kulea hiyo mimba jua kua anataka kula tunda tuu na kusepa.

Wahuni Wanaziitaga Golden Chances.

#Bagwell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.

Naomba ushauri wenu
Sasa unataka tukushauri nini tena?
 
[[Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehem ya kufanya mauaji,]] MAANA YA HIYO STATEMENT NI UNATAKA KUZAA HUYO MTOTO.. ALAFU UNAOMBA USHAURI... UPI SASA..?
WE MWENYEWE USHAJUA CHA KUFANYA ALAFU UNATAKA USHAURI... UNATAKA TUKUSHAURI NINI TENA.. AU UNATAKA TUKWAMBIE UKATOE ILI UJE USEME NI WATU WA JF NDO WALINIAMBIA.. .

Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako imemaliza kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hamkuwa tayari kwanini ulikubali ngono zembe? Wakati unapanua miguu ulikuwa unasikia utamu hukuwaza kutakuwa na mimba.
 
Nenda kwenye makanisa ukasikilize sala za wanaomba wapate watoto halafu ndio ujue kwa nini wewe umepata bila kufunga wala kuomba.
 
Una miaka mingapi dada? Je, una shughuli gani ya kukuingizia kipato?

Yeye anataka utoe mimbaz je, ametoa sababu zipi?

Mimba ina umri mpaka sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka enzi za ujana tulipendana na binti mmoja,mara mimba paap nikaona no im not ready kulea katoe.
Yule binti alikua kaoza sana basi conflict hapa na pale nikampa na hela kabisa ya kutolea 🙆‍♂️akasafiri kwenda kuzaa mkoani.
I swear binti pekee kati ya watoto wa 5 ndio huyo leo yuko 17.
Namwangalia nasema dah sijui shetani alitaka kufanya nini.
Usitoe mimba mdogo, kuna jamaa hapa ana mada anamlilia mungu apate mtoto bora mtafute muelewane tu.
 
Njooo haraka sana kwangu
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.

Naomba ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha yako wadau watakusaidia kuitunza na mtoto akizaliwa wakwake! Liache hilo libaba zuba!
Huyo hapo
IMG-20190526-WA0020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom