Usitoe mimba..Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Unamiaka mingapiNdugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Ushauri upi unaoutaka sasa ndugu na umesema haufikirii kuitoa. That means utazaa tuu no matter nini tutakachokushauriKingine....
Kipindi hichi ukipata mwanaume akajifanya anakupenda sana na yupo tayari kulea hiyo mimba jua kua anataka kula tunda tuu na kusepa.
Wahuni Wanaziitaga Golden Chances.
#Bagwell
Single mother to be
Single mother mwingine anakuja mtaani
Sasa unataka tukushauri nini tena?Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Mimi nipo tayari kuilea,krb tuyajenge.
Comment yako imemaliza kila kitu.[[Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehem ya kufanya mauaji,]] MAANA YA HIYO STATEMENT NI UNATAKA KUZAA HUYO MTOTO.. ALAFU UNAOMBA USHAURI... UPI SASA..?
WE MWENYEWE USHAJUA CHA KUFANYA ALAFU UNATAKA USHAURI... UNATAKA TUKUSHAURI NINI TENA.. AU UNATAKA TUKWAMBIE UKATOE ILI UJE USEME NI WATU WA JF NDO WALINIAMBIA.. .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji36][emoji36][emoji124][emoji124]Ina sound good eehh?
Alompa mimba kisha anamshauri aitoe na hatotoa atazaa huyu mnamuita mwanaume shujaa na kamwe kashfa ya usingle father haitomuhusu.
Jamii mbovu sana yenye watu wenye fikra duni kama zako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu poleni na majukumu, Kwa kifupi nimekuwa na Mwanaume kama Boyfriend, tumependana sana, Baada ya kuhisi nina mimba yake kaanza chenga, anasema au tuitoe, Sijawahi kutoa Mimba na sifikirii kitu kama hicho maishani mwangu, Mwili wangu siyo Sehemu ya kufanya mauaji.
Naomba ushauri wenu
Huyo hapoWeka picha yako wadau watakusaidia kuitunza na mtoto akizaliwa wakwake! Liache hilo libaba zuba!