Ushauri: Balozi yeyote aliyeko Ughaibuni asipoleta wawekezaji atimuliwe kazi

Ushauri: Balozi yeyote aliyeko Ughaibuni asipoleta wawekezaji atimuliwe kazi

Nchi za wenzenu balozi kujihusisha na mambo nje ya diplomasia ni kukiuka protokali tena anaweza kufukuzwa. Someni kwanza protokali za kidiplomasia zinasemaje. Nchi zingine huwa zinajitangaza huko Ulaya na Amerika kupitia marketing campaigns, public relations, lobbying, etc. Na hizi ni kazi zinazofanywa na kampuni zao huko huko Ulaya na Amerika.
 
Orodha ya mabalozi ambao wakobnje na ni mzigo kwa TAIFA;-
1. Balozi wa tanzania Kuwait
2. Balozi wa tanzania Brazil
3. Balozi wa tanzania Uingireza
4. Balozi wa tanzania Kenya
5. Balozi wa tanzania msumbiji
6. Balozi wa tanzania south Africa
7. Balozi wa tanzania Australia
8. Balozi wa tanzania Canada
9. Balozi wa tanzania Norway
10. Balozi wa tanzania Finland
11. Balozi wa tanzania ujerumany
12. Balozi wa tanzania sudan
hawa wote wakula peasa za bure hakuna wanachokileta kuifaidisha nchi
 
Habari!
Ni wakati sasa wa nchi kubana matumizi na kuruhusu matumizi matakatifu tu (matumaini yenye tija).
Ni muda muafaka Sasa kwa mabalozi wa Tanzania katika nchi zilizoendelea za Ulaya, Amerika na Asia kufanya ushawishi wa hali ya juu kwa matajiri wakubwa na kampuni kubwa kuja kuwekeza Tanzania.
Ikiwezekana wapewe documentaries za rasilimali na fursa za nchi yetu waende nazo huko ng'ambo.
Nchi zilizoendelea huleta mabalozi katika nchi zinazoendelea ili kujiimarisha kiusalama na kiutawala. Sisi tupeleke mabalozi nje kwasababu za kiuchumi maana tu mafukara wa kutupwa. Imagine leo karne ya 21 ndipo Waziri wa nishati anajitapa kuweka umeme nyumba ya tope!
Leo hiii bado kuna harambee ya kuchangia madawati shuleni.
Watu wenye ushawishi kama Makonda ndio wanapaswa kupewa ubalozi na sio kupeana kwa kuoneana aibu. Binafsi simtaki Makonda ila sometimes anafaa.
Ikiwezekana tupunguze mabalozi kwenye nchi maskini tuwahamishie nchi za ng'ambo ili watuletee investors.
Fukara ni ww peke ako
 
Wawekezaji huwa awaletwi ujileta wenyewe kwa kuangalia sera za nchi je zinatabirika.Maana ni risk Sana kuwekeza nchi za kiafrica sera hazitabiriki,maana KILA mtawala huwa huja na yake.Uwekezaji ni kitu cha kudumu na sio mda mfupi.Nchi iliyojaa marufuku nyingi yaani mtawala akiamka tu asubui marufuku kuingiza sukari,makaa ya mawe,nk ni ngumu kupata Wawekezaji.Rejea fastjet,nk.
 
Ni sawa mkuu pamoja na kuwa Wana data kamili na ni kweli lazima wawe na data maana matajiri wa nchi za wenzetu mataifa yao yanawathamini sana hata kuwapa taarifa nyeti za kijasusi kwa maswala ya kibiashara kwa taifa Fulani lakini pia balozi ana michango mkubwa sana katika kutoa ushawishi japo kidogo kwa wale wawekazaji wadogo wadogo wanaochipukia
Sisi hatuna majasusi wa uchumi kuiba taarifa za fursa nje wazilete tukawekeze huko bali wao wako bize kupambana na upinzani, kudukua simu za kina Mbowe,zitto, kuisaidia ccm kuiba ushindi na sio kuisaidia nchi isonge vijana waone fursa za nje.
Hao Wawekezaji wanazo taarifa tosha tu kupitia balozi zao thus awaji sababu sera zetu hazitabiriki,rejea waliowekeza kwenye gas,madini,nk walichomfanywa wanakijua.
 
Kwenye business intelligence nchi yangu ni dhaifu mno. Mabalizi wanakula viyoyozi na mishahara ya bure kabisa huko duniani. Tanzania ilitakiwa iuze bidahaa zake za kilimo kwa wingi nchi za mbali, hapo tungekuza kilimo na wananchi wengi wangejiajiri huko tofauti na sasa wanaona kilimo ni kama mateso. Sijui nani atakuja kutukomboa?

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Mabalozi walimuelewa sana hayati JPM. Kila wanapopewa nafasi ya kuongea TBC wanazielezea kwa undani nchi wanazowakilisha katika masuala ya fursa za huko.

Tatizo linaloweza kutimiza malengo ya diplomasia ya kiuchumi kwa sasa ni uwepo wa corona. Ugonjwa huu ni balaa sana, haya masuala ya wimbi la kwanza la pili na la tatu ni nuksi.

Labda corona ikidhibitiwa dunia itarudia hali yake ya kawaida na umuhimu wa mabalozi unaweza kuja kuonekana. Kuna biashara nyingi sana zimesimama zikisubiri makali ya hiki kirusi yapungue.
 
Habari!

Ni wakati sasa wa nchi kubana matumizi na kuruhusu matumizi matakatifu tu (matumaini yenye tija).

Ni muda muafaka Sasa kwa mabalozi wa Tanzania katika nchi zilizoendelea za Ulaya, Amerika na Asia kufanya ushawishi wa hali ya juu kwa matajiri wakubwa na kampuni kubwa kuja kuwekeza Tanzania.

Ikiwezekana wapewe documentaries za rasilimali na fursa za nchi yetu waende nazo huko ng'ambo.

Nchi zilizoendelea huleta mabalozi katika nchi zinazoendelea ili kujiimarisha kiusalama na kiutawala. Sisi tupeleke mabalozi nje kwasababu za kiuchumi maana tu mafukara wa kutupwa. Imagine leo karne ya 21 ndipo Waziri wa nishati anajitapa kuweka umeme nyumba ya tope!

Leo hiii bado kuna harambee ya kuchangia madawati shuleni.

Watu wenye ushawishi kama Makonda ndio wanapaswa kupewa ubalozi na sio kupeana kwa kuoneana aibu. Binafsi simtaki Makonda ila sometimes anafaa.

Ikiwezekana tupunguze mabalozi kwenye nchi maskini tuwahamishie nchi za ng'ambo ili watuletee investors.
Mabalozi wengine KPA zao ni ulinzi na usalama sio uchumi. FYI.
 
Wawekezaji wa mfano mliwatimua bila kuwasikiliza waliwaambia community yao ya wafanya biashara kuwa Africa its worse to invest inatosha kuua wawekezaji miaja 10bijayo hakuna ataekuja.....hiyo rectifying took 10 yrs waone kweli ndio watakuja kujaribu no confo at all
 
Back
Top Bottom