Ushauri - best economical 4wd car ya kununua

Ushauri - best economical 4wd car ya kununua

Architect E.M

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,222
Reaction score
1,425
Wadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. Nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?

Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue kichwa na iwe na exonomy kwenye wese.

Nimeshauriwa shauriwa na wadau labda forester ya 2010 XT, wengine wakaniambia niende kwenye a cheaper model ya suzuki jimny, japo ninaiona ndogo sana, na a bit uncomfortable mkiwa watu wanne. Nakaribisha mawazo na wenye experience.

Natanguliza shukrani za dhati
 
Kwa budget hiyo

Harrier old model
Alphard
Noah (new shape)

Hizi zote zina-range kwenye your budget
You may choose.

Aidha ;

 
Wadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?

Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue kichwa na iwe na exonomy kwenye wese.

Nimeshauriwa shauriwa na wadau labda forester ya 2010 XT, wengine wakaniambia niende kwenye a cheaper model ya suzuki jimny, japo ninaiona ndogo sana, na a bit uncomfortable mkiwa watu wanne. Nakaribisha mawazo na wenye experience.

natanguliza shukrani za dhati
Nissan xtrail
Toyota cami
Honda crv
Mitsubishi outlander
 
Wahindi huwa wanakuwa na magari mazuri sana na huyauza kwa Bei rahisi unayoweza kuimudu.
Najua unataka machine ya off road, halafu mtu anakuja kukwambia sijui chukua Passo, sijui Alphard mara zipo Spacio four wheeler, haya ni matusi kwa mtoa mada
Kama umesoma vizuri kasema iwe economy kwenye wese
 
Wadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?

Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue kichwa na iwe na exonomy kwenye wese.

Nimeshauriwa shauriwa na wadau labda forester ya 2010 XT, wengine wakaniambia niende kwenye a cheaper model ya suzuki jimny, japo ninaiona ndogo sana, na a bit uncomfortable mkiwa watu wanne. Nakaribisha mawazo na wenye experience.

natanguliza shukrani za dhati
Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.

Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)

Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
 
Ni ngumu kupata gari yenye standard zote muhimu unazozitaka. Kama wewe ni mchumi (mzalendo!) primarily kabla ya kununua gari yoyote zingatia haya.
1. Usefulness.
2. Cost (buying, Fuel, services, spare parts)
3. Durability
4. Others (Comfortability, Status)
 
Nitakushauri pia, unapofanya maamuzi ya choice, chagua gari ambayo kwa baadae itaweza kuuzika. Ni muhimu sana.
 
Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.

Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)

Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Shukrannn saaaaanna mkuu
 
Chukua Rav 4 kilitime yenye injini ya 1zz kidogo iko poa spea kibao, mafuta inakula vizuri, comfortable
 
Back
Top Bottom