Ushauri - best economical 4wd car ya kununua

Ushauri - best economical 4wd car ya kununua

Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.

Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)

Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Fwata huu ushauri hutojua kamwe hasa kwenye suzuki escudo masawe angalau ina nafasi kubwa kuliko jimny nusu mkate.
 
Kamata chuma hiko kimo ndani ya budget yako na ni all weather hiyo mashine na ni chuma cha pua. Escudo 2nd Generation. Nikikuagizia unapata na discount mi ni BF Gold member. Nimemiliki aina hii ya gari mara 2 nazielewa vizuri .
Screenshot_20210205-223305_Chrome.jpg
 
Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.

Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)

Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Mkuu kwema naomba uweke picha ya hiyo rav 4 unayoshauri ninauhitaji pia
 
Asee wahindi huwana magari mazuri, kama wale wa kisutu. Gari ni ya kuendea dukani na kurudi nyumbani. Unaweza ukabahatisha hilux pickup safi kabisa. Ndio, hilux nyingi kuanzia 3l na kuendelea ni economical na ni rahisi kuzitunza pia. Usiwena haraka tu ya kutaka kumiliki hilo gari ili upate lenye hali nzuri
 
Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.

Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)

Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
....na atabakiwa na chenji zaidi ya 2M...!!
 
Asee wahindi huwana magari mazuri, kama wale wa kisutu. Gari ni ya kuendea dukani na kurudi nyumbani. Unaweza ukabahatisha hilux pickup safi kabisa. Ndio, hilux nyingi kuanzia 3l na kuendelea ni economical na ni rahisi kuzitunza pia. Usiwena haraka tu ya kutaka kumiliki hilo gari ili upate lenye hali nzuri
Bora ajichange aagize Japan hapa Bongo madalali na wamiliki wengi si waaminifu.
 
Wadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. Nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?

Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue kichwa na iwe na exonomy kwenye wese.

Nimeshauriwa shauriwa na wadau labda forester ya 2010 XT, wengine wakaniambia niende kwenye a cheaper model ya suzuki jimny, japo ninaiona ndogo sana, na a bit uncomfortable mkiwa watu wanne. Nakaribisha mawazo na wenye experience.

Natanguliza shukrani za dhati
Chukua toyota rush
 
Tofauti kati ya 4WD na AWD ni nini mkuu?
Sio mtaalam sana ila ngoja nijarb AWD tail znakuwa znavuta zote. na hii ndo hufanya Gar kuwa na nguvu na stable barabaran.
4wd ni had uiweke ndo tail zote zivute
 
Back
Top Bottom