clonazepam
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 247
- 281
Fwata huu ushauri hutojua kamwe hasa kwenye suzuki escudo masawe angalau ina nafasi kubwa kuliko jimny nusu mkate.Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.
Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)
Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Ingia mtandaoni ucheki mkuu utagain vitu vingi kuliko kuniuliza hapa jfVW tiguan bei inaendaje ?
Mkuu kwema naomba uweke picha ya hiyo rav 4 unayoshauri ninauhitaji piaSuluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.
Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)
Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Old model ya kuanzia 2003 kuja 2004, 2005. akijichanganya za 2001 atajutaChukua X trail old model.... Ukiwa mtunzaji, yaweza kukusogeza kwa miaka 6 mingine.
Tofauti kati ya 4WD na AWD ni nini mkuu?Forester XT gari sana hutojutia. Ile ni all wheel drive AWD ni teknolojia mpya kuliko 4WD.
....na atabakiwa na chenji zaidi ya 2M...!!Suluhisho rahisi na kudumu ni kuchukua Suzuki Jimny (gari ya miradi ya mzungu). Old is gold, gold is wealth, go with suzuki jimny. Hicho chuma cha mjapani mpaka leo hii mjerumani anakipigia saluti. It is Simple, Durable and Affordable.
Ukishindwa kwenye Suzuki Jimny basi nenda kwenye Rav 4 old model au Suzuki Escudo old model (gari ya mangi)
Kwa hiyo pesa yako (17milioni) inatosha kuvuta gari yoyote mojawapo katika hizo tatu nilizozitaja.
Bora ajichange aagize Japan hapa Bongo madalali na wamiliki wengi si waaminifu.Asee wahindi huwana magari mazuri, kama wale wa kisutu. Gari ni ya kuendea dukani na kurudi nyumbani. Unaweza ukabahatisha hilux pickup safi kabisa. Ndio, hilux nyingi kuanzia 3l na kuendelea ni economical na ni rahisi kuzitunza pia. Usiwena haraka tu ya kutaka kumiliki hilo gari ili upate lenye hali nzuri
Alphad inakufaaChukua toyota corolla spacio new model ipo yenye 4wheel
Chukua toyota rushWadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. Nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?
Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue kichwa na iwe na exonomy kwenye wese.
Nimeshauriwa shauriwa na wadau labda forester ya 2010 XT, wengine wakaniambia niende kwenye a cheaper model ya suzuki jimny, japo ninaiona ndogo sana, na a bit uncomfortable mkiwa watu wanne. Nakaribisha mawazo na wenye experience.
Natanguliza shukrani za dhati
Hii ngoma ni ngumu.... Wajukuu wanaweza rithisha wajukuu zao....Vuta hiki chuma na utanishukuru bila shuruti!
View attachment 1716344
Hivi Mr.Joe hii ngoma siku hizi si haitengenezwi tena?Hii ngoma ni ngumu.... Wajukuu wanaweza rithisha wajukuu zao....
Ni gari zuri binafsi nalikubali ila sipendi nyuma yake ilivyokaa.nissan xtrail new model hutajutaView attachment 1696881
Sio mtaalam sana ila ngoja nijarb AWD tail znakuwa znavuta zote. na hii ndo hufanya Gar kuwa na nguvu na stable barabaran.Tofauti kati ya 4WD na AWD ni nini mkuu?
Yaani katika AWD muda wote hata sehemu ambayo haina tatizo tayari zote nne zinavuta?😳😳😳Sio mtaalam sana ila ngoja nijarb AWD tail znakuwa znavuta zote. na hii ndo hufanya Gar kuwa na nguvu na stable barabaran.
4wd ni had uiweke ndo tail zote zivute
Yes ndo hvyo muda woteYaani katika AWD muda wote hata sehemu ambayo haina tatizo tayari zote nne zinavuta?[emoji15][emoji15][emoji15]