Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Salamu Wana JF.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hajabakwa, itakua ni kiherehere chake.Salamu Wana JF.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.
Asante. Sasa kisheria huyu si ataonekana ni mtu mzima?Nendeni Polisi,
Halafu tukiwaambia watoto wanze la kwanza wakiwa na miaka 6 mkubali.
Hajabakwa, ni haya mahusiano ya vijana.kama hajabakwa, itakua ni kiherehere chake.
Kwani hata binti mwenyewe anajua kufanya matusi ni makosa. Na vibinti vya siku izi vinavyojua baikoko kuliko hata makungwi.
Lakini ni mwanafunziAsante. Sasa kisheria huyu si ataonekana ni mtu mzima?
Huu ndio wasiwasi wetu. Wengine wanashauri tuchukue mahari binti wamchukue.Mnaingilia maamzi ya watu wazima[emoji23][emoji23]ama awaruke maana vitoto vya siku hizi kinakuacha mzazi njia panda kweupee
Huenda yeye ndui alimtega mwanaume. Mwache ajifungue.Ni mtu mzima ndio maana mimba imekaa humo.Hajabakwa, ni haya mahusiano ya vijana.
Ndio hapa tungependa kujua kisheria kipi kinahesabika kikubwa kati ya uanafunzi au utu uzima wa miaka 18Lakini ni mwanafunzi
We umetoa ngapi..?Mnaingilia maamzi ya watu wazima[emoji23][emoji23]ama awaruke maana vitoto vya siku hizi kinakuacha mzazi njia panda kweupee
Bora hilo sababu BINTI ana miaka 18na hajabakwa haya mmemfunha huyo kijana kwani WANAUME wameisha?? La sivyo atawazalia watoto kibao hapo nyumban cha msingi peleka KWA huyo mumeHuu ndio wasiwasi wetu. Wengine wanashauri tuchukue mahari binti wamchukue.
Sijatoa hata MOJA na sioni hata umhim wa kutoaWe umetoa ngapi..?
Huyo ni mwanafunzi haijalishi umri, je angekua kidato cha 5 na ana miaka 20 asingekua mwanafunzi? Huyo ni mwanafunzi nenda polisi taratibu zianze harakaAsante. Sasa kisheria huyu si ataonekana ni mtu mzima?
Umezaa wangapi..?Sijatoa hata MOJA na sioni hata umhim wa kutoa
Asante sana boss.Mwanafunzi haijalishi umri, je angekua kidato cha 5 na miaka 20 asingekua mwanafunzi? Huyo ni mwanafunzi nenda polisi taratibu zianze haraka
Sijazaa hata mmojaUmezaa wangapi..?
Chukueni mahari mengine hayo ni kumtesa binti kisaikolojiaHuu ndio wasiwasi wetu. Wengine wanashauri tuchukue mahari binti wamchukue.
Hatuwezi kuja kusumbuliwa na serikali baadae?Chukueni mahari mengine hayo ni kumtesa binti kisaikolojia
Fanya hima uzae upunguze na kelele.Sijazaa hata mmoja