Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Af ukiuliza mkoa gan kapatiwa huyo unaweza ambiwa dar mana huko duhNi changamoto kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Af ukiuliza mkoa gan kapatiwa huyo unaweza ambiwa dar mana huko duhNi changamoto kubwa.
Na ndoano iliyotumika kumnasisha unaweza kuta ni chips mayai au mihogo na chachandu.Af ukiuliza mkoa gan kapatiwa huyo unaweza ambiwa dar mana huko duh
Kumpa ujauzito mwanafunzi ni kosa kisheria Mkuu hata akiwa na miaka iyo 18+ maadam ni wa msingi/sekondari dola inahusika moja kwa moja hapo.Miaka 18 kisheria ni mtu mzima tatizo lipo hapo kwenye kuwa mwanafunzi.
Kama kamtaja muhusika na alipata ujauzito kwa ridhaa yake basi kaeni familia za pande zote mbili muangalie jinsi gani mnalea ujauzito mpaka mtoto kuzaliwa. Mengine yatafuata baadae.
Hahahahahahahahahaaaa mihogo na chachandu hahahahahaNa ndoano iliyotumika kumnasisha unaweza kuta ni chips mayai au mihogo na chachandu.
Kumpa ujauzito mwanafunzi ni kosa kisheria Mkuu hata akiwa na miaka iyo 18+ maadam ni wa msingi/sekondari dola inahusika moja kwa moja hapo.
Hatuwezi kuja kusumbuliwa na serikali baadae?
Kamwozesheni hakuna namna, tuache kufanya mambo kuwa magumu.Salamu Wana JF.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.
Mshauri akamuozeshe, ndio muda sahihi WA kuleta kiumbe duniani 18 and above, ndio njia aliyochagua kumlea baba watoto wakekama hajabakwa, itakua ni kiherehere chake.
Kwani hata binti mwenyewe anajua kufanya matusi ni makosa. Na vibinti vya siku izi vinavyojua baikoko kuliko hata makungwi.
Wakianza na miaka 6 ndiyo hawapati mimba?Nendeni Polisi,
Halafu tukiwaambia watoto wanze la kwanza wakiwa na miaka 6 mkubali.
Rejea tena kusoma comment yangu Chief.Kumpa ujauzito mwanafunzi ni kosa kisheria Mkuu hata akiwa na miaka iyo 18+ maadam ni wa msingi/sekondari dola inahusika moja kwa moja hapo.
sawa na kufuga paka jike atazaa na madume huwaoniBora hilo sababu BINTI ana miaka 18na hajabakwa haya mmemfunha huyo kijana kwani WANAUME wameisha?? La sivyo atawazalia watoto kibao hapo nyumban cha msingi peleka KWA huyo mume
Akuuu nina mengi ya kufanya kwanzaFanya hima uzae upunguze na kelele.
Si ndio hapo SASAsawa na kufuga paka jike atazaa na madume huwaoni
Kuna kitoto cha jirani hapa juzi tu kimewaruka wazazi police kisa mme wa mtu na kalivyo maliza shule kakamuiba huyo mme wa mtu na kwenda kupanga sehem nyingine SASA mtoto kama huyo mkianza kuhangaika nae sana anaona kuna vitamu hamtaki avipate ndio KWANZA vinacharuka zaidiTena ndo ukute jamaaa anamuelewa, wazazi watajua hawajui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni kusumbua akili.Serikali Inawasomesha wasichana baada ya kujifungua.kwa sasa toeni taarifa kwa mwl mkuu kwamba binti yuko maternity.atarudi tuu mara atakapojifungua. mnaweza kujifikiria kuamua kumuweka ndani baba ya mjukuu mtarajiwa kama sheria Jamhuri inavyotaka.Hapo huyo binti yenu atakuwa single mother.Nadhani kaeni chini na mume mtarajiwa muweke mambo sawa.Salamu Wana JF.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.
Ni jambo la Kheri... tena atakuwa na mwanae vzuri kwer... mm nmeipenda bnafsi kwa kwer...Salamu Wana JF.
Naomba ushauri wa hatua za kuchukua katika mazingira haya.
Asanteni.