Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

Asante sana mwana sheria mkuu wa JF, napenda kujifunza vitu vingi nilikua naomba huu uzi uwe endelevu siku zisizo zawiki utujibie maswali ya kisheri.
hahahaha nisiwe muongo aisee hapa kati kati sidhani, labda ntakua napitia pitia tu kuona na kusema chochote kinacho hitajika.
 
Mkuu kuna haya makampuni yameibuka kipindi hiki mfanoTALA, BRANCH yanakopesha watu hela kwa njia ya mtandao...je ikitokea mtu hajalipa yana mandate gani kumuwajibisha mdaiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna haya makampuni yameibuka kipindi hiki mfanoTALA, BRANCH yanakopesha watu hela kwa njia ya mtandao...je ikitokea mtu hajalipa yana mandate gani kumuwajibisha mdaiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
jaji mmoja pale mahakama kuu divisheni ya biashara aliwai kusema "mahakama sio kichaka cha kufichia maovu, na mahakama sio mama ako anaeweza kukupa mkate kila saa tu ukala".... kukopa ni lazima ulipe hii ni general rule, ila makampuni haya yanachokifanya ni risk tu, kwakua yana leseni ya kufanya hivyo chini ya sheria za mikopo, wana uwezo wote wakamuwajibisha mtu alie default kutokana na makubaliano ya mkataba wa mkopo wenyewe.
 
Hakuna kitu kama hicho jaribu kuisoma vizuri, the probate and administration of estates Act and its rules hasa rule 33.
ka kwambia nani kua hakuna ukomo? okei iko hivi, haki ya kusimamia mali za marehemu almaarufu kama mirathi ni lazima ithibitishwe na mahakama aidha marehemu awe ameacha wosia au hajaacha,vyote ni mahakama ndio itathibitisha au ita teua kutokana na mapendekezo ya ndugu wa marehemu, hatua hii huitwa application for letter of probate or application for granted probate, sasa kwa mujibu wa sheria za mirathi maombi haya yanapaswa kufanyika ndani ya miaka mitatu toka kifo cha marehemu, na muda huu ukipita basi admistrator general atapaswa kuziweka chini ya uangalizi wake mali hizo mpaka pale ndugu wa marehemu watakapo jitokeza na kuomba wapewa ruhusa na muda kuongezwa wa mahakama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hatua gani za kufuata ili nilipwe baada ya mshatakiwa aliyenigonga na gari kushindwa kesi ya kuendesha gari kwa njia ya uzembe amekwenda jela mwaka mmoja
 
jaji mmoja pale mahakama kuu divisheni ya biashara aliwai kusema "mahakama sio kichaka cha kufichia maovu, na mahakama sio mama ako anaeweza kukupa mkate kila saa tu ukala".... kukopa ni lazima ulipe hii ni general rule, ila makampuni haya yanachokifanya ni risk tu, kwakua yana leseni ya kufanya hivyo chini ya sheria za mikopo, wana uwezo wote wakamuwajibisha mtu alie default kutokana na makubaliano ya mkataba wa mkopo wenyewe.
Ivi kumbe una practice Law? Nikajua wewe ni Law Student kutoka IJA????
 
Stanley Mitchell na PTER
Hivi ikiwa mtu anatumia kazi zangu bila idhini na kwanjia moja ama nyingine ndio chagizo ya mapato yake, mfano: Logo niliyounda mimi lakini akaidurufu na kutumia katika kampuni yake. Sheria inasemaje kuhusu mtu wa namna hi?
 
Stanley Mitchell na PTER
Hivi ikiwa mtu anatumia kazi zangu bila idhini na kwanjia moja ama nyingine ndio chagizo ya mapato yake, mfano: Logo niliyounda mimi lakini akaidurufu na kutumia katika kampuni yake. Sheria inasemaje kuhusu mtu wa namna hi?
Imekula kwako maana huna TradeMark ama ServiceMark (whatever the case) ya iyo "logo", ama unayo kama uliiregister

Swali: je Uliiregister iyo logo? Au we ni mwajiriwa wa hiyo kampuni?

Kama huna "exclusive rights" za kutumia iyo logo peke yako huwezi kusema anatumia bila idhini yako!

Ungekua na izo xclusive rights...then ungem-license aendelee kutumia under license!

Anything else?
 
Back
Top Bottom