Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

Uzalendo my ass
Wewe unajua kila kitu???
Wewe unaweza kufundisha mtu na akakuelewa kweli!?
Atujakataa kupinga ila unapopinga elimisha sio unamcrash mtu alafu umekaa kimya tu... unategemea tukuelewe vip

Sent using Jamii Forums mobile app
Your Ass? I heard it aint Virgin!

Crash? U never seen me crashin anyone bcuz if u dd, that aint a crash!

I don't know everything but I know A LOT, and you can do nothin about it, indeed no bitch can take it away!

Any problem with me Mr. LAWYER???
 
We mdada una maneno sana ila no sweat wanawake ni kawaida yenu. Kukaa kmya pia ni jibu kwa mpumbavu..acha tukuachie uzi
Your Ass? I heard it aint Virgin!

Crash? U never seen me crashin anyone bcuz if u dd, that aint a crash!

I don't know everything but I know A LOT, and you can do nothin about it, indeed no bitch can take it away!

Any problem with me Mr. LAWYER???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo nyie mnaojiita "Wasomi" ni mambumbu sana afu hampendi kuambiwa ukweli!
dada angu kwanini unapenda matusi, alafu acha ujinga, ukibisha kitu bishia kwa hoja, jana umenibishia sehemu mara mbili nika kwambia haya leta wewe majibu yako au ukiona kuna sehemu mim nimekosea wewe kosea alafu nakupa laki hapo hapo, ukashindwa, ukakimbia, acha upuuzi wa kuaribu uzi wa watu ambao pengine wangepata msaada bure tu, na mie narudia kukwambia, dada angu acha mdomo tuongee facts, ukiona kuna sehemu nimekosea mim tangu jana hapa paseme na mim ntakulipa laki moja kwa kuweza kukosoa na kupagundua mahala hapo.

hii ndio sms ya mwisho kukujibu unless ukosoe kitu nikujibu, ila huu ujinga ujinga wa kutaka umaarufu unaweza kuendelea nao tu hakuna shida, sisi tulishavuka huko miaka mingi sanaa.

hivi hata wewe huoni aibu tangia peji ya kwanza una comment ujinga tu, we hauna kazi ya kufanya? kwaio wewe unashinda mitandaoni ili kutukana watu tu sio? hahahahaha Tanzania kubwa sanaaa, sasa dada angu ukija kua mkubwa nani atakae kuoa?
 
Dogo kuanzisha uzi jf wala hakuhitaji malipo
Kwanini usianzishe uzi wako wadau wapo watakufata tu kuuliza shida zao. Apa unatuzingua tu ata km kuna sehem mtoa uzi ameteleza tunarekebishana kisomi sio kuattack mtu.
Huo unaofanya ni utoto na sio usomi.
Damn it

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha achana nae, kijana ana stress kamaliza chuo cha bagamoyo mwaka juzi basi hasira anazileta mitandaoni kwa watu asio wafahamu.
 
Nimefunguliwa kesi ya madai iliyotokana na traffic case na imekuja kwangu binafsi na kwa bima, je nini cha kufanya hapo?
kesi hio ilikwisha sikilizwa hapo kabla kwa maana ya traffic case kabla hii ya madai? hukumu yake ilikuaje kama ilisikilizwa hapo kabla?
 
naomba unifafanulie jambo hili"nilimpa jamaa hela ili awe anafanya biadhara ya kununua Ng'ombe na kuziuza ili faida itakayo patikana tuwe tunagawana ila tulikubaliana ikifika tarehe /mwezi furani anirudishie ile hela niliyompa ambayo ni mtaji,ilipofika muda wa kukabidhiwa zile hela yule jamaa akawa ametoroka baada ya wiki kuisha nikafungua kesi ya wizi wa kuaminiwa nikapewa RB,kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumkamata Mkoa jirani nikampeleka mahakamani.hadi sasa kesi imefikia kwenye kuleta mashahidi,mimi ninao mashahidi 2 yeye hana ila amekubali kuwa kweli alichukua hizo hela.swali langu hapo ni kwamba kwa jinsi hii kesi ilivyokaa inaweza ikatolewa hukumu ya aina gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha achana nae, kijana ana stress kamaliza chuo cha bagamoyo mwaka juzi basi hasira anazileta mitandaoni kwa watu asio wafahamu.
Hivi we ni practioner kweli?? Like seriously? Kabisa someone anakutrust umtetee? Unapanic fasta? Unatoa mapovu? Sasa sijui we ni practitioner gani.
dada angu kwanini unapenda matusi, alafu acha ujinga, ukibisha kitu bishia kwa hoja, jana umenibishia sehemu mara mbili nika kwambia haya leta wewe majibu yako au ukiona kuna sehemu mim nimekosea wewe kosea alafu nakupa laki hapo hapo, ukashindwa, ukakimbia, acha upuuzi wa kuaribu uzi wa watu ambao pengine wangepata msaada bure tu, na mie narudia kukwambia, dada angu acha mdomo tuongee facts, ukiona kuna sehemu nimekosea mim tangu jana hapa paseme na mim ntakulipa laki moja kwa kuweza kukosoa na kupagundua mahala hapo.

hii ndio sms ya mwisho kukujibu unless ukosoe kitu nikujibu, ila huu ujinga ujinga wa kutaka umaarufu unaweza kuendelea nao tu hakuna shida, sisi tulishavuka huko miaka mingi sanaa.

hivi hata wewe huoni aibu tangia peji ya kwanza una comment ujinga tu, we hauna kazi ya kufanya? kwaio wewe unashinda mitandaoni ili kutukana watu tu sio? hahahahaha Tanzania kubwa sanaaa, sasa dada angu ukija kua mkubwa nani atakae kuoa?
See now? We ndo unajiita msomi? Unajua fika unaongea na mwanaume yet unaniita dada sasa inaonesha mm na ww nani kilaza.

Mi nafanya street fighting kind of practice, uliza sehemu nilizopita...nimeacha alama.

Much to your dismay, nashindwa kudisclose hapa maana I chose to be anonymous on here.

Ila Ask Them and they Will Tell You!

Sikuaribii uzi ila kama unalisha wadau matango pori, For God's Sake I have the ULTIMATE DUTY to intervene in order to save the PROFESSION from gang rape If I may call it!

N.B Reg. 103(1) ya Professional Conduct and Ettiqutte Regulations, 2018 inasema kua myie mnaojiita "mawakili wasomi" mnaotoa legal services to the public muwe mnaitoa iyo services kwenye namna ambayo itacommand RESPECT ma CONFIDENCE ya wadau dhidi ya PROFFESION yenu...

Sasa kitendo cha kulisha wadau matango pori ni uvunjivu wa kanuni (GN 118 ya 2018) tena una bahati sijajua Bar # yako ningekuripoti kwenye Kamati Yenu nyie Mawakili Wasomi!

Garbage!
 
Hivi we ni practioner kweli?? Like seriously? Kabisa someone anakutrust umtetee? Unapanic fasta? Unatoa mapovu? Sasa sijui we ni practitioner gani. See now? We ndo unajiita msomi? Unajua fika unaongea na mwanaume yet unaniita dada sasa inaonesha mm na ww nani kilaza.

Mi nafanya street fighting kind of practice, uliza sehemu nilizopita...nimeacha alama.

Much to your dismay, nashindwa kudisclose hapa maana I chose to be anonymous on here.

Ila Ask Them and they Will Tell You!

Sikuaribii uzi ila kama unalisha wadau matango pori, For God's Sake I have the ULTIMATE DUTY to intervene in order to save the PROFESSION from gang rape If I may call it!
hahahahaha safi sanaa, sikua na haja ya kukujibu hapo awali, ila nilivyoona unatukana matusi mengi nikaona, nope this is too much and i wont keep quit on these bunches of stupidity, nimekujibu kwa aina yako, how about that? know umehumia right? hahahaha,,, siwezi kupaniki kwa mtu ambae ni hopless, ila nimekujibu kwa jinsi ulivyopaswa kujibiwa, embu angalia texts zako hapo juu umetukana matusi ya aina yote.

mimi nibishane hoja za kila aina na watu ambao ni ma senior kwenye game nisipaniki nije kupaniki kwa mtu ambae ni anonymous tu hahahaah hell no.

ukileta umtaa umtaa basi tutaenda kiumtaa umtaa, maana tulitokea mitaani kabla hata ya sheria yenyewe, but we haujiulizi mbona hakuna mtu ambae hatujaelewana nae tofauti na wewe? do you think kila mtu anaweza ku entertain ujinga?... anyway sitokujibu tena, tukana unavyoweza.
 
kesi hio ilikwisha sikilizwa hapo kabla kwa maana ya traffic case kabla hii ya madai? hukumu yake ilikuaje kama ilisikilizwa hapo kabla?
Kesi ya traffic ilishaisha tangia mwaka jana na iliisha kwa kukubali kosa.
 
Nadhani mmejionea watanzania tulivo, mtu anapotoa mada kama hizi zenye kuhitaji umakini ktk ujibuji,zenye kuhitaji weledi na kukosoa palipo kosea lkn utaona mtu anaanza matusi,kejeli kumwona mwenzie si chochote,
Sheria ni taaluma ambayo uhitaji mtu kuwa ktk trend ya usomaji wa sheria, sheria uwa unafundishwa citation of law sio kuongea au kutoa majibu from the vacuum yasiyo na any citation or authorities.
Prof Safari gwiji wa sheria naye aliwahi kusema licha ya kuwa yeye ni prof lkn zipo sheria zinamtatiza.
Muhimu jifunze kumweshimu mtu,jifunze busara japo najua watu tumetofautiana ktk kuzaliwa na kulelewa,wapo waliozaliwa kwa kutanguliza kichwa wengine kwa kutanguliza miguu. Kwa utofauti huo lzma na utofauti ktk mambo mengine uwepo.
Jibu kwa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesi ya traffic ilishaisha tangia mwaka jana na iliisha kwa kukubali kosa.
well, kimsingi hapo mkuu ni kuitikia wito na kujiandaa kujenga hoja zitakazo saidia kurahisisha adhabu, kitaaluma wanatumia teminolojia inayoitwa Estoppel kwa maana uliyoyakubaliana awali ni ngumu kuyakataa sasaa, na wengi hua wanaanzai huko kwenye traffic case wakishinda basi hua wanaibeba ile judgement kama ilivyo kwenda kudaia fidia,,, traffic cases ni mtego, mtu anaona hapa najichosha ya nini ngoja nikubali tu nilipe fine laki na 50 kesi iishe, wengi hawajui outcomes zake.

embu niambie victim ktk madai yake ya sasa anadai nini? gharama za matibabu? bima ya maisha? fidia gani?

wiki mbili zilizopita kisutu pale rafiki yangu alikua ana mtetea mteja wake ktk kesi kama yako, madai yao ilikua wanaiomba mahakama iwaruhusu wakamalizane na huyo mzee nje ya mahakama tu.
 
Nadhani mmejionea watanzania tulivo, mtu anapotoa mada kama hizi zenye kuhitaji umakini ktk ujibuji,zenye kuhitaji weledi na kukosoa palipo kosea lkn utaona mtu anaanza matusi,kejeli kumwona mwenzie si chochote,
Sheria ni taaluma ambayo uhitaji mtu kuwa ktk trend ya usomaji wa sheria, sheria uwa unafundishwa citation of law sio kuongea au kutoa majibu from the vacuum yasiyo na any citation or authorities.
Prof Safari gwiji wa sheria naye aliwahi kusema licha ya kuwa yeye ni prof lkn zipo sheria zinamtatiza.
Muhimu jifunze kumweshimu mtu,jifunze busara japo najua watu tumetofautiana ktk kuzaliwa na kulelewa,wapo waliozaliwa kwa kutanguliza kichwa wengine kwa kutanguliza miguu. Kwa utofauti huo lzma na utofauti ktk mambo mengine uwepo.
Jibu kwa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
hakika mkuu, umesema vyema kabisa.
 
well, kimsingi hapo mkuu ni kuitikia wito na kujiandaa kujenga hoja zitakazo saidia kurahisisha adhabu, kitaaluma wanatumia teminolojia inayoitwa Estoppel kwa maana uliyoyakubaliana awali ni ngumu kuyakataa sasaa, na wengi hua wanaanzai huko kwenye traffic case wakishinda basi hua wanaibeba ile judgement kama ilivyo kwenda kudaia fidia,,, traffic cases ni mtego, mtu anaona hapa najichosha ya nini ngoja nikubali tu nilipe fine laki na 50 kesi iishe, wengi hawajui outcomes zake.

embu niambie victim ktk madai yake ya sasa anadai nini? gharama za matibabu? bima ya maisha? fidia gani?

wiki mbili zilizopita kisutu pale rafiki yangu alikua ana mtetea mteja wake ktk kesi kama yako, madai yao ilikua wanaiomba mahakama iwaruhusu wakamalizane na huyo mzee nje ya mahakama tu.
Dah! Ila kwaupande wa jamaa anadai gharama za matibabu yake, chombo chake(pikipiki), kukaa muda mrefu bila kazi na uharibifu mwingine...japo hata hivyo gari langu lina bima kubwa.
 
Dah! Ila kwaupande wa jamaa anadai gharama za matibabu yake, chombo chake(pikipiki), kukaa muda mrefu bila kazi na uharibifu mwingine...japo hata hivyo gari langu lina bima kubwa.
kama una bima kubwa ambayo ni comprehensive ondoa shaka, jamaa hao wa bima ndio watakua responsible na watalipa kila kitu.
 
mdogo angu nikuulize swali unajua kiingereza? na wewe una akili timamu? soma rule 31(1) alaf niambie umeelewa nin?
dada angu niulize swali lolote duniani, niko radhi kukujibu.
hahahahaha ulete majibu hapa, dogo soma, acha kupoteza muda mitandaoni, umenichekesha sanaa leo, serius wewe unaweza kua ni wakili alaf haujui expiration of time on probate matters? hahahah
Mkuu mbona badala ya kujibu hoja unaanzisha personal attacks? Inaonyesha ukiwa mahakamani ni rahisi sana mtu kukushinda!! Yani kaswali kadogo tu umetoka kwenye reli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom