Ushauri: CAF waangalie upya sifa za timu kushiriki kombe la shirikisho

Kama hatoridhika na maoni yako bora auwawe tu
 
Hoja ya mleta mada iko hapo hapo, kwamba kwa sasa timu iliyoongoza kundi inaburuza mkia South Africa. Similarly, anajaribu kuleta picha kuwa kuongoza kundi la shirikisho hakutoi picha halisi ya umahiri wa timu
Naona unajitahidi kurekebisha alichokiandika ndugu yako, ili msionekane namna mlivyo mbumbumbu!
 
Hoja ya mleta mada iko hapo hapo, kwamba kwa sasa timu iliyoongoza kundi inaburuza mkia South Africa. Similarly, anajaribu kuleta picha kuwa kuongoza kundi la shirikisho hakutoi picha halisi ya umahiri wa timu
Ni sawa na hao Raja waliowapiga ndani nje na kwenye ligi wapo nafasi ya 5 huko na wakati huo anayeongoza ligi yupo CAFCC.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Umekurupuka sana. Hii timu ya Kabylie umeiona? Imefuzu robo fainali champion league
 
Ila kiukweli Confederation cup timu zilizoongoza makundi ukitoa Utopolo ni dhaifu ukilinganisha na zile zilizoshika nafasi za pili!
 
Hoja ya mleta mada iko hapo hapo, kwamba kwa sasa timu iliyoongoza kundi inaburuza mkia South Africa. Similarly, anajaribu kuleta picha kuwa kuongoza kundi la shirikisho hakutoi picha halisi ya umahiri wa timu
Kwa maana hiyo hata watani wako kuongoza ndani na nje hakuleti taswira halisi ya timu sio😂
 
Hoja ya mleta mada iko hapo hapo, kwamba kwa sasa timu iliyoongoza kundi inaburuza mkia South Africa. Similarly, anajaribu kuleta picha kuwa kuongoza kundi la shirikisho hakutoi picha halisi ya umahiri wa timu
Ahsante mkuu,kuwaelimimisha hawa jamaa inabidi uwe na Mo extra pembeni
 
kuna msimu Leeds Utd aliingia nusu fainali ya Uefa Champions League huku akiwa ameshuka daraja katika Premier League
 
Ww ni mjinga sana [emoji706],haishangazi kuona nchi hii ipo hapa ilipo maana watu wenyewe wengi ni kama ww.

Hiyo team msimu uliopita ilikua top four na ndiomana ikafuzu ktk mashindano ya CAF sasa hapo hoja yako ni ipi?

Kipindi Chelsea wanachukua UEFA msimu ule walikua na msimu mbovu ktk ligi lkn wakaenda kubeba uefa, na msimu huu Chelsea ni ya 11 lkn wapo robot final UEFA je UEFA ni kombe la loosers?

Ww ni takataka
 

Looser [emoji777]

Loser [emoji3581]


Mkiambiwa hamna akili mnakasirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…