Tena ni ile takataka ya kuchoma motoWw ni mjinga sana [emoji706],haishangazi kuona nchi hii ipo hapa ilipo maana watu wenyewe wengi ni kama ww.
Hiyo team msimu uliopita ilikua top four na ndiomana ikafuzu ktk mashindano ya CAF sasa hapo hoja yako ni ipi?
Kipindi Chelsea wanachukua UEFA msimu ule walikua na msimu mbovu ktk ligi lkn wakaenda kubeba uefa, na msimu huu Chelsea ni ya 11 lkn wapo robot final UEFA je UEFA ni kombe la loosers?
Ww ni takataka View attachment 2576452
TuliA MZEE πππMashabiki wa utopolo mbona mna hasira hivi .π€£π€£π€£
ndio nasema tena,watanzania wenye akili wachache, kumbe huko wako wawili tuBahati mbaya kati ya hao waTanzania wenye akili Utopoloni Jangwani Yanga kuna wawili pekee wenye akili
mkuu jifunze maswala ya mpiraUTOPOLO WOTE HAWANA AKILI TIMAMU
Kablyie ni wa pili kutoka mwisho ligi ya Algeria ila kafuzu robo final champion ligi je na huko simba ni kwa waliofeli? Ww ni takataka..overLooser [emoji777]
Loser [emoji3581]
Mkiambiwa hamna akili mnakasirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imagine serikali imetumia resources zake kuhesabu watu kama hawa!Kuna hii timu kutoka South Afrika inaitwa Marumo Garants wao wanashika nafasi ya mwisho 16 kati ya timu 16 wana points 20 katika michezo 23 Wameshinda michezo mitatu sare 11 vichapo 9.
Cha ajabu wao ndiyo wanaongoza group A kombe la CAFCC wana points 12 huku USM Alger wakiwa nafasi ya pili na points 11.
THIS IS THE REAL MEANING OF LOSERS TOURNAMENT
Hoja ikijengwa kwa msingi wa chuki na mihemuko badala ya facts inakuwa hoja dhaifuKuna hii timu kutoka South Afrika inaitwa Marumo Garants wao wanashika nafasi ya mwisho 16 kati ya timu 16 wana points 20 katika michezo 23 Wameshinda michezo mitatu sare 11 vichapo 9.
Cha ajabu wao ndiyo wanaongoza group A kombe la CAFCC wana points 12 huku USM Alger wakiwa nafasi ya pili na points 11.
THIS IS THE REAL MEANING OF LOSERS TOURNAMENT
Hana heshima na changamoto ya afya ya akili ni tatizo kubwa kwakeMtoa mada ikimpendeza, awaombe Mods kuufuta huu uzi wake, ili kulinda heshima yake. Maana mihemko yake imemponza.
Ungeandika hivi ni sawa ya Raja Casablanca aliyewapiga 6 kwa moja on aggregate.ππNi sawa na hao Raja waliowapiga ndani nje na kwenye ligi wapo nafasi ya 5 huko na wakati huo anayeongoza ligi yupo CAFCC.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Natabiri hii thread inakwenda kuipiku ile nyingine ya zezeta lingine la makolo ya takwimu za Kibu Denis vs Fiston Mayele.ππHoja ikijengwa kwa msingi wa chuki na mihemuko badala ya facts inakuwa hoja dhaifu
Mzee Rage aliona mbali sana FAR Rabat yupo shirikisho na anaongoza ligi ya Morocco mbele ya Raja na Wydad walio wagonga mbele na nyuma hawa jamaa sijui akili walipeleka wapiKablyie ni wa pili kutoka mwisho ligi ya Algeria ila kafuzu robo final champion ligi je na huko simba ni kwa waliofeli? Ww ni takataka..over
Hapa umepiga Sugunyo ya kisogo hana chance ya kuinuka. Kama akiamka basi kwshakua zezeta milele na mileleUmekurupuka sana. Hii timu ya Kabylie umeiona? Imefuzu robo fainali champion league View attachment 2576411