LGE2024 Ushauri: CHADEMA ijiondoe kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa

LGE2024 Ushauri: CHADEMA ijiondoe kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
tena haraka sana
 
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
NDIYO MAANA LISSU KAWAKIMBIA MUENDELEE NA UCHAGUZI PEKEYENU
 
Nilishasema sana kuhusu hili

Bora hata wale wanaosusia kujiandikisha maana wanajuwa
Huu uchaguZ ni sinema tu
Mambo ya kusema sjjui unakosa
Haki ya msingi blah blah
Hamna loloteee

Ova
 
  1. Hakuna tume huru ya uchaguzi
  2. Hakuna katiba mpya
  3. Zoezi la uandikishwaji daftari la wakaazi limeshaingia dosari.
📌CHADEMA siyo chama cha upinzani ni kiinimacho tu.
Subiri makamanda uchwara wamwage mapovu kazi yetu sisi kufua
 
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Ku
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Kujitoa itaendelea kuonyesha uwezo wake mdogo wa kupewa nchi

Mwaka huu naona Chadema imejikita kutafuta kasoro badala ya kuangalia fursa yoyote ya ushindi

 
Kitendo cha CHADEMA kukubali kushiriki huu uchaguzi tata kimenishangaza sana.

Katu sitajiandikisha..!
Yaweza kuwa chai waliyokunywa jumba lile wakati wa maridhiano iliwabakizia Imani Fulani kuwa labda huyu anaeupiga mwingi sio yule mtata!
 
Mambo Yale Yale ya 2020 yanarudiwa tena,

Kushiriki uchaguzi ambao unajua ni batili Kisha ukadai umeibiwa kura ni kuwafanya wananchi kama hawafikuri Sawa sawa!
Hivi Lema ,Mrema na Mzee mbowe unategemea bila kuhalalisha uwepo wa chadema kwa kushiriki hizi chaguzi wataishije?
 
Huu ni uchaguzi wa ajabu kabisa ,hakuna haki wala usawa ju ya uchaguzi wa serikali za mitaa nchini.

Bali ni uchaguzi wa ccm
 
Unasusia msosi na watu wana njaa ? Susa uone kama utabembelezwa
 
Ushauri huu niliutoa mapema hata kabla ya zoezi la uandikishaji kuanza. Chadema na vyama vyote vya upinzani vinapaswa kususia uchaguzi huu na ujao ili tutengeneze katiba mpya kwanza itakayoweka misingi imara ya utawala unaoakisi mamlaka ya wananchi kama mwajiri wa watawala.

Wanasiasa wote wa upinzani na chama tawala, wana tamaa ya kuendelea kuchagua viongozi kwa mfumo uliopo kwa kuwa kuna manufaa na masilahi zaidi kwao kuliko kusimamia ustawi jumuishi wa jamii ya kitanzania.....Ruzuku!
Kwa hali ilivyo sasa hata kama upinzani wakishinda uchaguzi bado wataendelea kuendesha nchi kwa mfumo uliopo ambao ni mbovu unao nufaisha viongozi taasisi na vitengo.

Kinachotakiwa kufanyika sasa ni uandishi wa katiba mpya utakao zingatia uwepo wa nchi ya Tanganyika, mdau mkubwa wa Zanzibar katika muungano wa Jamuhuri ya Tanzania. Uwepo wa tume huru ya uchaguzi iliyo huru kusimamia uchaguzi bila kuwa na mashinikizo kutoka mamalaka za juu yake.

Kama tutatimiza masharti hayo hapo juu, ni wazi uandikishaji na upigaji kura utakuwa na washiriki wengi maana matakwa ya wananchi yatalindwa na katiba wakati viongozi nao wakidhibitiwa na masharti mapya na magumu tuliyo jiwekea kwenye katiba mpya.

Tutumie muda huu kuandika katiba mpya badala ya kufanya uchaguzi na tujiwekee malengo kuwa uchaguzi mkuu ufanyike 2030 baada ya kukamilisha mambo yote ya kisiasa. Wakati huu wa kipindi cha mpito, CCM na Rais wa sasa waendelee kukaa madarakani kwa masharti ya kukamilisha mchakato wa katiba mpya, kufanya kura ya maamuzi juu ya muundo wa muungano na hapa msisitizo ukiwa kuwepo kwa nchi, Serikali, Bunge. Rais wa Tanganyika makao yake yawe Dodoma.

Kulazimisha kufanya uchaguzi ili kulinda maslahi binafsi au taasisi zinazo neemeka na mfumo uliopo ambao ni kandamizi haitasaidia. Binafsi sitarajii kuinua mguu wangu kwenda kujiandiksha wala kupiga kura mwaka huu na ujao mpaka mambo niliyoyataja hapo juu yakamilishwe. Nafarijika sana kuona kuwa wengi wanaona na kuelewa kinachoendelea, wachache wenye maslahi ndio watakwenda kujiandikisha na kupiga kura.
 
Inavyotamkwa nchi Ina vyama 19 vya upinzani, ila kwenye uamdikishaji Hawa wengine wameshachukua Chao mapema, Sasa Hawa waliobaki wakizira unahisi itakuwa nafuu ya nani!?
 
Ushauri huu niliutoa mapema hata kabla ya zoezi la uandikishaji kuanza. Chadema na vyama vyote vya upinzani vinapaswa kususia uchaguzi huu na ujao ili tutengeneze katiba mpya kwanza itakayoweka misingi imara ya utawala unaoakisi mamlaka ya wananchi kama mwajiri wa watawala.

Wanasiasa wote wa upinzani na chama tawala, wana tamaa ya kuendelea kuchagua viongozi kwa mfumo uliopo kwa kuwa kuna manufaa na masilahi zaidi kwao kuliko kusimamia ustawi jumuishi wa jamii ya kitanzania.....Ruzuku!
Kwa hali ilivyo sasa hata kama upinzani wakishinda uchaguzi bado wataendelea kuendesha nchi kwa mfumo uliopo ambao ni mbovu unao nufaisha viongozi taasisi na vitengo.

Kinachotakiwa kufanyika sasa ni uandishi wa katiba mpya utakao zingatia uwepo wa nchi ya Tanganyika, mdau mkubwa wa Zanzibar katika muungano wa Jamuhuri ya Tanzania. Uwepo wa tume huru ya uchaguzi iliyohuru kusimamia uchaguzi bila kuwa na mashinikizo kutoka mamalaka za juu yake.

Kama tutatimiza masharti hayo hapo juu, ni wazi uandikishaji na upigaji kura utakuwa na washiriki wengi maana matakwa ya wananchi yatalindwa na katiba wakati viongozi nao wakidhibitiwa na masharti mapya na magumu tuliyo jiwekea kwenye katiba mpya.

Tutumie muda huu kuandika katiba mpya badala ya kufanya uchaguzi na tujiwekee malengo kuwa uchaguzi mkuu ufanyike 2030 baada ya kukamilisha mambo yote ya kisiasa. Wakati huu wa kipindi cha mpito, CCM na Rais wa sasa waendelee kukaa madarakani kwa masharti kukamilisha mchakato wa katiba mpya, kufanya kura ya maamuzi juu ya muundo wa muungano na hapa msisitizo ukiwa kuwepo kwa nchi, Serikali, Bunge. Rais wa Tanganyika makao yake yawe Dodoma.

Kulazimisha kufanya uchaguzi ili kulinda maslahi binafsi au taasisi zinazo neemeka na mfumo uliopo ambao ni kandamizi haitasaidia. Binafsi sitarajii kuinua mguu wangu kwenda kujiandiksha wala kupiga kura mwaka huu na ujao mpaka mambo niliyoyataja hapo juu yakamilishwe. Nafarijika sana kuona kuwa wengi wanaona na kuelewa kinachoendelea, wachache wenye maslahi ndio watakwenda kujiandikisha na kupiga kura.
Niambie kama wazo lako ni jema ni Nini kunazuia mchakato Kwa Sasa!?
 
Back
Top Bottom