LGE2024 Ushauri: CHADEMA ijiondoe kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa

LGE2024 Ushauri: CHADEMA ijiondoe kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kujiondoa ni sawa na kukimbia Nchi na kuwaachia mafisadi waongoze na kujifanyia kila wanachotaka.
 
Hata mim nadhani kibaki chama kimoja tuu ili watanzania tuongee lugha moja maana nadhan kwa tanzania yetu hii tumeshinda vita vya kikabila na udini lakini vita ya kisiasa ishaingia sura mbaya saana watu wanaonana maadui utadhan washawahi pigana vita ya damu baina yao.
 
Kazi ya chama cha siasa ni kufanya siasa.
Kufanya siasa za upinzani barani Afrika inahitaji uvumilivu.
Chadema waendelee na harakati za uchaguzi bila kujali watashinda au laa.
 
Toka chadema waanze kususia chaguzi mbalimbali nini kimebadilika.. Kususa kumewasaidia nini zaidi ya kuwapa COM ushindiwa asilimia mia.. Njooni na mpango mwingine.. Huu mpango wa kususia chaguzi umefeli na hauna msaada wowote katika mapambano ya kidemokrasia..
 
Wapinzani hawako serious, msimamo ulitakiwa kuwa No reforms no elections. Unaingia kwenye uchaguzi unaona kabisa serikali haina nia ya kutenda haki
Uzuri wananchi tumeonyesha kuwa hatuko tayari tena kushiriki chaguzi za kuhuni bila mabadiliko ya kweli. Na sio uchaguzi huu tu, hata uchaguzi mkuu ujao wananchi hatutajihusisha na hizi chaguzi za kihuni tena.
 
Toka chadema waanze kususia chaguzi mbalimbali nini kimebadilika.. Kususa kumewasaidia nini zaidi ya kuwapa COM ushindiwa asilimia mia.. Njooni na mpango mwingine.. Huu mpango wa kususia chaguzi umefeli na hauna msaada wowote katika mapambano ya kidemokrasia..
Kwa taarifa yako hiki kitendo cha sisi wananchi kususia uchaguzi huu kimetuma ujumbe wa uhakika kwa ccm na serekali kuwa wananchi hawaridhishwi na mwenendo uliopo. Ni kweli ccm itatangazwa washindi kisheria lakini wakiwa hawana uhalali wa umma.

Hakuna kiongozi atakayekuwa na ushirikiano wa wananchi kwani watakuwa kwenye vyeo wakiwa hawana ridhaa ya wananchi. Na huu ususiaji sio wa uchaguzii huu tu, na hautaishia kwenye uchaguzi huu tu, bali ni hadi uchaguzi mkuu ujao. Wananchi tumechoka kuongozwa kwa shuruti na ccm, huku wakitutungia sheria za kutukandamiza, na kujigeuza miungu watu.
 
Pamoja na kuwa kunaweza kuwa na dosari za hapa na pale ila ni dhahiri CHADEMA hawajajianda na huu uchaguzi, ndio maana kila siku ni kutoa matamko na wanajua kabisa wanakwenda kupoteza vibaya huu uchaguzi hivyo muda mwingi wanatafuta sababu za kujitoa. Huwezi kushiriki uchaguzi wakati wananchi hawajui sera zenu. Wao kila wakipewa nafasi majukwaani badala ya kusema watawafanyia nini wananchi wao wanamlaumu JPM ambaye kazi zake hadi leo zinaonekana.
 
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Gentleman,
Chadema ijitoe au isijitoe, uchaguzi wa Serikali za mitaa upo pale pale utafanyika bila mbambamba yoyote Nov 27 2024 🐒
 
Huo utakuwa ni uchaguzi wa ccm.
vyovyote itakavyokua ilimradi katiba na sheria za nchi zizingatiwe na vyama vingine zaidi ya 20 waachwe washiriki uchaguzi huo kwa uhuru..

ukata wa fedha chadema uwatafune wenyewe sio kuleta visingizio mfu hapa 🐒
 
Kwa taarifa yako hiki kitendo cha sisi wananchi kususia uchaguzi huu kimetuma ujumbe wa uhakika kwa ccm na serekali kuwa wananchi hawaridhishwi na mwenendo uliopo. Ni kweli ccm itatangazwa washindi kisheria lakini wakiwa hawana uhalali wa umma.

Hakuna kiongozi atakayekuwa na ushirikiano wa wananchi kwani watakuwa kwenye vyeo wakiwa hawana ridhaa ya wananchi. Na huu ususiaji sio wa uchaguzii huu tu, na hautaishia kwenye uchaguzi huu tu, bali ni hadi uchaguzi mkuu ujao. Wananchi tumechoka kuongozwa kwa shuruti na ccm, huku wakitutungia sheria za kutukandamiza, na kujigeuza miungu watu.
Acheni kushauriana ujinga.. Himizeni wanachama na wapenzi wa vyama vyenu wajitokeze kupiga kura.. Acheni ubishi wa kijinga..
 
Uchaguzi wa 'bora liende'.

Ccm mnaua kabisa demokrasia ya taifa hili kwa tamaa zenu za madaraka.

Uzuri wenye nchi yao (bila kujali itikadi za vyama)wameshaanza kuliona hili....kutapambazuka mpende msipende.
Ni suala la muda tu.
 
Uchaguzi wa 'bora liende'.

Ccm mnaua kabisa demokrasia ya taifa hili kwa tamaa zenu za madaraka.

Uzuri wenye nchi yao (bila kujali itikadi za vyama)wameshaanza kuliona hili....kutapambazuka mpende msipende.
Ni suala la muda tu.
unadhani kuna mtu atakaebabaika na makasiriko na mihemko yako na ya wengine kuhusu uchaguzi huu muhimu wa kihistoria gentleman?🤣

uchaguzi utafanyika bila mbambamba yoyote, uongozi utapatikana Serikali za mitaa na vijiji zitaundwa, na mambo yatasonga..

we ng'ang'ana na ushirikina wako huko 🐒
 
Acheni kushauriana ujinga.. Himizeni wanachama na wapenzi wa vyama vyenu wajitokeze kupiga kura.. Acheni ubishi wa kijinga..
Nisikilize, hatuna muda wa kuhamasisha yoyote akashiriki uchaguzi kiini macho wakati mna matokeo mfukoni. Kama mlitegemea tutaendelea kujitokeza kwenye mistari ya kura kama mabwege basi mmeukalia. Kuliko muhangaike kuiba kura, kuacha wapinzani na vilema hadi vifo, basi goli liko wazi shindeni kihalali. Hatushiriki upuuzi fullstop.
 
Nisikilize, hatuna muda wa kuhamasisha yoyote akashiriki uchaguzi kiini macho wakati mna matokeo mfukoni. Kama mlitegemea tutaendelea kujitokeza kwenye mistari ya kura kama mabwege basi mmeukalia. Kuliko muhangaike kuiba kura, kuacha wapinzani na vilema hadi vifo, basi goli liko wazi shindeni kihalali. Hatushiriki upuuzi full
Wewe ni adui wa demokrasia.. Unaaminisha watu vitu tofauti ambavyo ni mtazamo wako.. Leo hii nimeshuhudia gari la Chadema lenye bendera likipita mitaani huku wakitoa tangazo watu wakajiandikishe.. Sasa haya unayoyasema sijui yanatoka wapi.. Hebu nenda kajiandikishe upige kura..
 
Wewe ni adui wa demokrasia.. Unaaminisha watu vitu tofauti ambavyo ni mtazamo wako.. Leo hii nimeshuhudia gari la Chadema lenye bendera likipita mitaani huku wakitoa tangazo watu wakajiandikishe.. Sasa haya unayoyasema sijui yanatoka wapi.. Hebu nenda kajiandikishe upige kura..
Nasema hivi, watu wajinga tu ama wanaofaidika na chaguzi hizi za kishenzi, ndio wataendelea kujitokeza kwenye chaguzi ambazo ccm ndio wanapanga nani atangazwe mshindi.

Cdm ni juu yao kuhamasisha watu wajitokeze kujiandikisha, lakini tunaojitambua hatuwezi kuendelea kushiriki chaguzi za kuhuni. Na kwa taarifa yako sio uchaguzi huu tu, bali hata huo mkuu mtashiriki nyie mnaofaidika na huo uhuni.
 
Salaam, Shalom!!

HOJA ya ushauri hapo juu ni kupuuzwa Kwa mapendekezo muhimu ambayo mliyatoa ikiwemo uchaguzi huo wa Serikali za mitaa kusimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi.

Sasa Kwa kuwa yanayoendelea hivi sasa, wanachama wenu wanaendelea kuumizwa na Hila zimeendelea kutawala mchakato wa uchaguzi,

Nichukue nafasi hii kuwasihi kujitoa mapema Ili kuepusha watu wasio na hatia kuumizwa.

NB: Kushiriki uchaguzi ambao mnajua ni batili Kisha kudai kuwa mmeibiwa kura, hiyo ni kuwafanya wananchi kama hawafikiri Sawa sawa!!

Nawasilisha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Na kwa maana hiyo hiyo uliyo ilenga wewe mkuu 'Rabbon'; nami niungane nawe kuwashauri CHADEMA kungali mapema kutoshiriki kwenye uchaguzi mkuu unao fuata.

Mada yako hii nimekuwa nikiikwepa kuifungua na kuisoma, kwa sababu maoni yangu ni kinyume kabisa na ushauri unao wapa CHADEMA.
Lakini baada ya kuona hali halisi ilivyo, na jinsi wasivyo kuwa na mikakati yoyote mbadala ya kuwafikishia wananchi ili washirikiane kuitekeleza kwa pamoja; nami sasa sioni maana yoyote ya ushiriki wao (CHADEMA) katika zoezi za chaguzi hizi ambazo CCM ndio wamezishikilia na kufanya kila wanachoweza kufanya bila ya kuhojiwa na yeyote.

Iliyo baki kwa Tanzania sasa ni kusubiri tu kudra za Mwenyzi Mungu kulinusuru taifa letu na balaa hili la CCM.
 
Hili ni mustakabali wa Taifa, ilitakiwa kuliadress kwa wananchi sio chadema pekee
 
Na kwa maana hiyo hiyo uliyo ilenga wewe mkuu 'Rabbon'; nami niungane nawe kuwashauri CHADEMA kungali mapema kutoshiriki kwenye uchaguzi mkuu unao fuata.

Mada yako hii nimekuwa nikiikwepa kuifungua na kuisoma, kwa sababu maoni yangu ni kinyume kabisa na ushauri unao wapa CHADEMA.
Lakini baada ya kuona hali halisi ilivyo, na jinsi wasivyo kuwa na mikakati yoyote mbadala ya kuwafikishia wananchi ili washirikiane kuitekeleza kwa pamoja; nami sasa sioni maana yoyote ya ushiriki wao (CHADEMA) katika zoezi za chaguzi hizi ambazo CCM ndio wamezishikilia na kufanya kila wanachoweza kufanya bila ya kuhojiwa na yeyote.

Iliyo baki kwa Tanzania sasa ni kusubiri tu kudra za Mwenyzi Mungu kulinusuru taifa letu na balaa hili la CCM.
Sasa kumbe Wana mbinu elfu kama alivyodai Nape,

Zamani wizi ulikuwa ukifanyika ktk mchakato wa kupiga na kuhesabu kura,

Hivi sasa baada ya kustukiwa, uharibifu unaanzia kwenye mchakato wa kuandikisha wapiga kura, Hadi under 18 wanaandikishwa,

Umefika time sasa wakala wa upinzani anamaliza kuhakikisha idadi jioni akiwa na mwandishi, akiondoka na daftari, nyumbani anaongeza idadi ya watu Hadi 200, hapo jiulize inamaana usiku Kuna uandikishaji huendelea.

Sasa ikiwa mifumo ya HAKI ya Uchaguzi inajaribiwa, na Wana chi kisheria hatutumii silaha kudai mabadiliko, kususia ni jambo muhimu, wabaki na UOVU wao.

Tumwachie Mungu, Yeye ni mwaminifu atawatembelea Kila Mmoja Kwa wakati wake.
 
Back
Top Bottom