Uchaguzi 2020 Ushauri - CHADEMA iongezee Timu ya kampeni na Lissu aende Majimboni

Too late...halafu hamna vichwa vinavyoeeza kusimama vyenyewe kwenye kampeni
Hivi hapa vichwa.
1. John Heche
2. John Mnyika
3. Halima Ndee
4. Mhe. Msigwa
5. Mhe. Sugu ( Rais wa Mbeya)
6. Lazaro Nyarandu
7. Godbless Lema
8. Prof. J ( Mbunge wa binadamu na wanyama)
9. Ester Bulaya & Ester Matiko
10. Jacob Biniface ( Meya Ubungo)
Kamanda wa anga atacheza popote.
Hawa wanamvuto wa kutosha. Haihitaji lwasanii kujaza uwanja. Nadhani wanasubiri dakika za lala salama wanajiweka sawa kwanza majimboni.
 
Nenda kamshauri mgombea wenu aliye bwaga manyanga na sasa yupo kwao amepumzika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…