Hivi hapa vichwa.Too late...halafu hamna vichwa vinavyoeeza kusimama vyenyewe kwenye kampeni
1. John Heche
2. John Mnyika
3. Halima Ndee
4. Mhe. Msigwa
5. Mhe. Sugu ( Rais wa Mbeya)
6. Lazaro Nyarandu
7. Godbless Lema
8. Prof. J ( Mbunge wa binadamu na wanyama)
9. Ester Bulaya & Ester Matiko
10. Jacob Biniface ( Meya Ubungo)
Kamanda wa anga atacheza popote.
Hawa wanamvuto wa kutosha. Haihitaji lwasanii kujaza uwanja. Nadhani wanasubiri dakika za lala salama wanajiweka sawa kwanza majimboni.