Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Ukiangalia kiundani unaona kwa nini CCM inaweza shinda uchaguzi huu kiurahisi sana.
Ni namna walivyojipanga katika Kampeni zao. Kila Mkoa na Wilaya unaona kuna mtu mwenye Ushawishi ndani ya Chama anasaidia kufanya kampeni za wagombea Ubunge au Udiwani. Nimeona Kinana, Kikwete, Ndugai, n.k. wafanya kampeni.
Chadema hapa wamekosa nguvu fulani. Kampeni na mikutano yote inahodhiwa na Lissu tu. Bila Lissu hakuna watu. Katika Jimbo la Bunda nimeona mwamko zaidi kwa wanachama na wapiga kura wao. Mbeya na Arusha nadhani pameamka.
Nashauri timu ya kitaifa iongezeke. Itawanyike nchi nzima na tuone nguvu ya chama na si mtu.
Ni namna walivyojipanga katika Kampeni zao. Kila Mkoa na Wilaya unaona kuna mtu mwenye Ushawishi ndani ya Chama anasaidia kufanya kampeni za wagombea Ubunge au Udiwani. Nimeona Kinana, Kikwete, Ndugai, n.k. wafanya kampeni.
Chadema hapa wamekosa nguvu fulani. Kampeni na mikutano yote inahodhiwa na Lissu tu. Bila Lissu hakuna watu. Katika Jimbo la Bunda nimeona mwamko zaidi kwa wanachama na wapiga kura wao. Mbeya na Arusha nadhani pameamka.
Nashauri timu ya kitaifa iongezeke. Itawanyike nchi nzima na tuone nguvu ya chama na si mtu.