Ushauri: CHADEMA msimkebehi Dkt. Slaa baada ya kurudi nchini, mfuateni na mumuombe arudi ili awanyanyue kisiasa tena

Ushauri: CHADEMA msimkebehi Dkt. Slaa baada ya kurudi nchini, mfuateni na mumuombe arudi ili awanyanyue kisiasa tena

Nasikia amerudi kwenye nyumba aliojengewa na Chadema huko Mbweni,Ccm hawakumpa hata mafao.Mke aliyemrubuni wakimbilie Canada,aliporwa na mwwnaume mwingine.Malipo hapahapa.
Kuporwa mke ughaibuni, ni jambo la kawaiida sana. Tena anakupora Mtanzania mwenzako
 
Daaah sasa kwann akarudi nyumban? Mi nadhani kama ni mtu makini angeendelea kuisimamia misingi yake aliyokua anaipambania dhidi ya CCM kwa aidha kuanzisha chama chake ama kwenda upinzan.
Hana hela sasa ivi.. na umaarufu umepungua. Yote hayo yanaitaji $$$ ndefu sana
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.
Mwambie samia amuite ikulu akasaidie KUWAFUNDA VIJANA.
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.


CCM ndio inategemea wazee kwani kwenye uchaguzi ina backup ya vyombo vya dola, wazee wa aina ya kina Mkuchika, Lukuvi nk. CDM ni chama cha vijana, hayo mawazo ya wazee kwa sasa hayana nafasi kwani kwasasa CDM haipambani na CCM, bali vyombo vya dola maana CCM haipo.
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.
Mzee njaa ilimfanya asaliti what he believes.
 
CCM ndio inategemea wazee kwani kwenye uchaguzi ina backup ya vyombo vya dola, wazee wa aina ya kina Mkuchika, Lukuvi nk. CDM ni chama cha vijana, hayo mawazo ya wazee kwa sasa hayana nafasi kwani kwasasa CDM haipambani na CCM, bali vyombo vya dola maana CCM haipo.
Point yako nini hasa?
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.

Dr Slaa alibebwa na nyota ya chama Cha CHADEMA. Alivyotoka CHADEMA amekuwa mwanasiasa wa kawaida. Halafu kashazeeka ana miaka 80, Hana uwezo tena wa kuhimili Kash Kash za siasa.
 
Huu sio ulimwengu wa mazuzu. Huyo Slaa, hana jipya lolote
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.
Wapi wamemkebehi? Ningependa kuona.
 
Mimi nahitaji upinzani makini kwa maendeleo ya taifa letu.

Chadema mkipata Dk slaa mtapata chombo chenye nguvu na uwezo wa kisiasa na kitawanyanyua kisiasa maana anajua mbinu zote za medani.

Huu uahauri ni muhimu, ila nashangaa mmebakia kumkebehi kuwa amerudi Bongo hana lolote baada ya ubalozi kukata huko Sweden.
CCM msimkebehi Membe.nendeni muombe ushauri!!
 
Yule mzee ni mtu wa MUNGU na ni mkweli,hawezi kubali kuungana na wajinga tena!
 
Back
Top Bottom