Ushauri: CHADEMA msimkebehi Dkt. Slaa baada ya kurudi nchini, mfuateni na mumuombe arudi ili awanyanyue kisiasa tena

Dr Slaa kwa sasa hawezi kujiunga tena na siasa za upinzani:

1. Kwanza upinzani wenyewe ni dhaifu sana, hauna umoja, hauko serious, na hauna mipango
2. Yeye mwenyewe yupo loyal kwa CCM kwani wamemuamini hadi kumpa ubalozi
3. Hakuna haja tena ya kumtumia kama pandikizi huko CDM kwani upinzani wenyewe siyo threat tena kwa rulling party
4. Umri wake umeenda na hawezi tena active politics
 
Nasikia amerudi kwenye nyumba aliojengewa na Chadema huko Mbweni,Ccm hawakumpa hata mafao.Mke aliyemrubuni wakimbilie Canada,aliporwa na mwwnaume mwingine.Malipo hapahapa.
Umeandika uongo mtupu, na uzandiki and uzushi
 
Tumekusikia bwana waitara.
 
Aombe yeye kurudi, kwa msaliti wake, kudhani CHADEMA ITAKUFA....

CHADEMA ni Taasisi...
 
Yaani amnyanyue bi mkubwa wako na sisi atunyanyue hebu tutake radhi, bwashehe
Hapana. Dr arudi kwenye chama kinachoendeshwa na MATUKIO.
Hivi sasa akina Lema na Msigwa wanabishana kama Chenge anafaa kuwa Spika au la.
Lisu anajadili bifu na Samia na Ndugai.
Hapo ndipo Lowasa alipowaachia CHADEMA.
Kimekuwa chama cha HOVYO haijapata kutokea.
Wamfuate Lowasa awarudishe alipowakuta kabla hawajamsaliti Dr na Watanzania.
 
mirembe quality
 
Ukishaharibu cv au heshima yako kwenye Jamii haiwezi tengemaa.
Chadema imekuwa imara zaidi bila Dr Slaa.
Dr atafute tu chuo afundishe umri ushamtupa harakati aachie vijana
 
Mwacheni ale Pension mzee wa watu stress za kisiasa haziwezi tena
 
Wilbroad wa Sasa hana Nguvu yoyote na hafai katika ulingo wa siasa kwa sababu ni mchumia tumbo kiongozi makini na sahihi kwa upinzani wapo wawili tu MBOWE na Lissu otherwise labda wakina NEY na Roma
 
Nasikia amerudi kwenye nyumba aliojengewa na Chadema huko Mbweni,Ccm hawakumpa hata mafao.Mke aliyemrubuni wakimbilie Canada,aliporwa na mwwnaume mwingine.Malipo hapahapa.
Ihihihihiiiiii kwa hiyo Dr. Mihogo kwa sasa ni single kibabu?
 
HATUTAKI bakini naye aendelee kuwashauri au mmemchoka

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…