Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

ibrah0102

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
384
Reaction score
642
Tumpe ushauri huyu dada
20241220_082544.jpg
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
 
Back
Top Bottom