missongika
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 341
- 409
Bahati nzuri hata wewe ni mfanyakazi, tafuta mfanyakazi wa ndani akusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani kabla ya ndoa alipewa semina, hapo akubali tu ameshaingia kwenye ndoa na hizo ndio changamoto zenyewe Mimi mfanyakazi kwenye ndoa mpya siafiki kabisa.Nadhani tatizo liko kwenye umri na ukomovu wa akili kwa huyo dada aliyeingia kwenye ndoa, Hili liko wazi ukimsoma neno kwa neno, asaidiwe kwa kushauriwa na atambue majukumu yake ni yapi.
Kwahiyo kinachomchosha ni kazi, sio ndoa!Ila kiuhalisia wote wanachoka wanawake nao ni watu dd wa kaz awekwe
tafuta beki tatuTumpe ushauri huyu dada
View attachment 3180728
Huyo dada nae ameajiriwa anafanya kazi. Kama mshahara wake unasaidia majukumu ya nyumbani basi anatakiwa kusaidiwa kazi za nyumbani.Kwahiyo kinachomchosha ni kazi, sio ndoa!
Kwa mujibu wa manual, kila kada ina majukumu yake kama ilivyo kwa Job Description yake huko kazini; anataka majukumu yake kwenye ndoa afanye nani?
Mnaosema aongeze binti wa kumsaidia kazi, si ndio nyie nyie mnaosema mshahara/pesa ya mwanamke haiguswi? Nani atamlipa? Sasa kinachompeleka huko kunakomchosha ni nini?
- Mnataka kazi za nyumbani wafanye 50-50 halafu kila mtu apambane na majukumu yake kwenye ajira yake sio?
- Na Matumizi yote yahusuyo familia wakutane 50-50, sitakuwa na shida.
Avunje ndoa akaishi ambako atasaidiwa kazi.Tumpe ushauri huyu dada
View attachment 3180728
Naomba gemu mnato dearMi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Kitchen party nishapata bado mume sasa 😹Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
We fala niniAisee kuchelewa ndio mke wake atakuwa anampikia daily ?
Hawa madogo wa 2000 legelege sanaAisee sisi wanaume tuliozaliwa miaka ya zamani hatuko tayari na hizo mbanga za 50/50, na hatutakuja kua tayari mpaka mwisho wa dunia [emoji419]
Tulia mume anakuja anatoka BwanaKitchen party nishapata bado mume sasa 😹
Una hela gemu mnato halitolewi bureNaomba gemu mnato dear
Anachelewa sasa ntasahau maneno yako kungwi 😹Tulia mume anakuja anatoka Bwana
Kumbe ukiachana na likes huwa unatoa comments za kibabe🤣Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Umenidindisha Vibaya Mnoo😋😋😋Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.