Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Kumbe ukiachana na likes huwa unatoa comments za kibabe🤣

Inategemea amepewa semina na nani, akipewa semina na hii supa woman lolote linaweza kutokea😌View attachment 3180830
Hizo kucha umwambie afue ataweza,, nadhani msingi wa binti kuweza kupambana na changamoto na maisha ya ndoa unaanzia nyumbani kwa wazazi binti alie lelewa vizuri akiwasikia hao masupa woman atawasikiliza na kuchuja mazuri na Yale yasiofaa atawaachia masupa big wapambane nayo....
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Taratibu mkuu.Mimi nasubiri matokeo ya "fomtu"!
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Ni Kama umemaliza nilichotaka kusema,lkn ni kwamba uyo dada ni mvivu tu,,au haonaje aache kazi,ili awe mama wa nyumbani!!, suluhisho hilo laweza kuwa zuri lkn inategemea uyo binti kalelewaje uko alikotoka?au umpe contact akuone ana kwa ana umpe hilo darsa,kuweka mfanyakazi kwaweza vunja ndoa kabisaaa,wasijaribu.
 
Huyo mdada hajui maana ya maisha. Malezi yake ndiyo chanzo cha matatizo yake na atavunja ndoa kijinga. Hajui namna ya kumu handle mwanaume. Kwa kawaida hakuna mwanaume eti useme umechoka akusaidie kupika, hayupo! Anachopaswa kufanya awe na ma love šŸ’• dovaaaa kibao na ampe husbund kukata vitungu yaani kiutani utani. Lakini pia wali awe na rice cooker na maisha yataenda. Ila kutegemea ukoloni atachemsha
 
Tatizo ukianza tu kuosha vyombo,utaosha mpaka uzee wako,msaada utageuka kuwa mzigo,yakheri mapema ijulikane kwamba wewe hizo mambo huziwezi
Kosa la huyo jamaa ni kurudi saa12, ratiba ya kurudi home kwa mwanaume haipo fixed. Ila kusaidiana kazi ni kitu kizuri, kinaleta bond na kuhamasisha mapenzi. Muhimu ni kupangiana, tusupangiwe coz hata wao vipato vyao hatuwapangii
 
Hiyo ndoa haina maisha marefu, wanaume muwasaidie wake zenu pale wanapohitaji msaada! Wote wanarudi wamechoka! Na sio mwanaume ajifanye anachoka ,zaidi ya mwenzake!
 
Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.

Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.

Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
Kazi nizifanye mara ngapi. Sijaoa ila naweza kupika mwenyewe, kufua, kudeki, kuosha vyombo yani sifanyiwi kazi na dada au mama wa kulipa.
Mademu zangu wenyewe wakija sometimes kama naona wataniharibia mapishi huwa najipikia mwenyewe niwalishe maana nina mademu kadhaa viazi hawajui kupika.

Tukishirikiana kuosha vyombo basi na mshahara au mapato yote tuweke mezani tuyapangie matumizi. Kama uzungu iwe uzungu kweli, sio uzungu kwenye kusugua masufuria ila kwenye mshahara mke aseme "hela ya mwanamke usiipangie matumizi". Si bora aache kazi sasa.
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
dah wakujengee sanamu pale siti senta
 
Tatizo siyo wote kuwa wafanyakazi, tatizo ni mshahara wa upande mmoja tu ndo unapigiwa bajeti ya kulisha familia. Kama mishahara ikitoka yote inawekwa mezani kugawanywa kwa ajili ya kuendesha familia yupo sahihi
 
Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Mambo ya KUBUM KUBAM, ni mwendo wa kwangu kwako, kwangu kwako. Bandika bandua, funika funua... Mnahama viwanja tu, sebuleni, ngoma inahamia bafuni, kisha kitandani mnamalizia.

Sharti la gemu unaipiga ile vizuri, ukimaliza mwanamke apitiwe usingizi mzitooooo, ama akibahatika kuinuka kwenda chooni basi alalamike miguu haina nguvu.
Hapo kidume, bichwa linakuwa kama dumu šŸ˜‚
 
Back
Top Bottom