Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Sasa nyumba mpo wawili mtu analalamika majukumu 🤣 Ila wanawake wa siku izi jamani mna kazi. Yaani hapo kuna majukumu gani ya kusaidiwa? Kuosha sahani moja na vijiko viwili?

Huyo mwanamke inaonekana hata angekua anaishi mwenyewe bado angelalamika kazi ni nyingi. Uvivu tu.
 
Wanaume nawaambia ukweli, kama unataka kufurahia tendo la ndoa na mke wako basi hakikisha anakuwa hachoki.

Nasema hachoki sababu mwanamke akichoka hapati hisia za kusex.

NB: Kazi za nyumbani zinachosha sana sababu ni za kujirudia.
 
Kwahiyo ushauri tunakupa wewe au mwenye hiyo sms, au ndio wewe mwenyewe unayeomba ushauri!?
 
Wanaume nawaambia ukweli, kama unataka kufurahia tendo la ndoa na mke wako basi hakikisha anakuwa hachoki.

Nasema hachoki sababu mwanamke akichoka hapati hisia za kusex.

NB: Kazi za nyumbani zinachosha sana sababu ni za kujirudia.
Kupika chakula cha watu wazima wawili, kudeki rooms ya watu wawili, kufua za wawili, kuosha vyombo vya wawili. Hii nayo inachosha?

Sasa akiwa na watoto ndio itakuwaje. Si watashinda na mikojo kwenye nepi.
 
Ndoa ni changamoto, kuua so, hapo jamaa aanze kuchelewa kurudi
Akianza kuchelewa nyumbani maendeleo hatayaona tena,nje ya home baada ya kazi vishawishi ni vingi sana.

Akisema apoteze muda bar atakunywa pombe,pombe mwenzake ni marafiki na wanawake so circle hiyo haitamwacha salama kumbuka kuna maradhi mbalimbali,dawa ni kuoa mama wa nyumbani anayejua namna ya ku-control nyumba kwa case mezani jamaa ameshabugi hii ni kwa wale ambao bado hawajaoa.
 
Sasa nyumba mpo wawili mtu analalamika majukumu 🤣 Ila wanawake wa siku izi jamani mna kazi. Yaani hapo kuna majukumu gani ya kusaidiwa? Kuosha sahani moja na vijiko viwili?

Huyo mwanamke inaonekana hata angekua anaishi mwenyewe bado angelalamika kazi ni nyingi. Uvivu tu.
Uvuvi tu, tusubiri akibeba mimba malalamiko yatafika mpka kwa Samia.
 
Wanaume nawaambia ukweli, kama unataka kufurahia tendo la ndoa na mke wako basi hakikisha anakuwa hachoki.

Nasema hachoki sababu mwanamke akichoka hapati hisia za kusex.

NB: Kazi za nyumbani zinachosha sana sababu ni za kujirudia.
uko wewe na mme unachoka na nini?
kuosha sahani na bakuli na vijiko viwili ndio unachoka?.
anapika nini kinachochosha hapo?

nyie wanawake wafundisheni mabinti zenu kazi za jikoni, huyu bila shaka hajui kupika amezowea kupikiwa na housemaid.......
 
Kupika chakula cha watu wazima wawili, kudeki rooms ya watu wawili, kufua za wawili, kuosha vyombo vya wawili. Hii nayo inachosha?

Sasa akiwa na watoto ndio itakuwaje. Si watashinda na mikojo kwenye nepi.
hawa ndio mabinti wanaoshinda mitandaoni kujisnap na kupost.....
huyu hajui kupika amezoweshwa kila kazi housemaid
 
Kupika chakula cha watu wazima wawili, kudeki rooms ya watu wawili, kufua za wawili, kuosha vyombo vya wawili. Hii nayo inachosha?

Sasa akiwa na watoto ndio itakuwaje. Si watashinda na mikojo kwenye nepi.
Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.

Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.

Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
 
Vijana oeni wanawake ambao watakua submissive na kua tayari kua mama wa nyumbani!

Mnaona changamoto za kuoa wafanyakazi? Unarudi zako nyumbani bidada anakuambia, "Baby piga deki halafu nisaidie kuosha vyomba pale kwenye sink!"... Aaargh!!!
Ndio uwe tayari kumhudumia kwa kila kitu, siyo tena baada ya muda unaanza kumuona mzigo na kudai ni golikipa, kisha unaanza kuchepuka na wanawake wa kusaidiana nao maisha
 
Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.

Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.

Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa kwa chochote.
Mkuu Ushawahi olewa na mzungu?
 
Mwanamume unawahi nyumbani kufanyaje? Hapo ndiyo mwanzo wa kuambiwa na mkeo njoo nisaidie kukata vitunguu,wanaume wanaorudi usiku mwingi wanajuwa wanachofanya.
 
Sasa nyumba mpo wawili mtu analalamika majukumu 🤣 Ila wanawake wa siku izi jamani mna kazi. Yaani hapo kuna majukumu gani ya kusaidiwa? Kuosha sahani moja na vijiko viwili?

Huyo mwanamke inaonekana hata angekua anaishi mwenyewe bado angelalamika kazi ni nyingi. Uvivu tu.
Wewe unasema wanawake, wanaume je unakuta mtu anaishi mwenyewe ila kujipikia na kujifulia yeye tu anaona tabu, kazi kama wewe unaona ni ngumu usitake mwenzio aione rahisi
 
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba...
Nadhani tatizo liko kwenye umri na ukomovu wa akili kwa huyo dada aliyeingia kwenye ndoa, Hili liko wazi ukimsoma neno kwa neno, asaidiwe kwa kushauriwa na atambue majukumu yake ni yapi.
 
Back
Top Bottom