Kumbe ukiachana na likes huwa unatoa comments za kibabe🤣
Hizo kucha umwambie afue ataweza,, nadhani msingi wa binti kuweza kupambana na changamoto na maisha ya ndoa unaanzia nyumbani kwa wazazi binti alie lelewa vizuri akiwasikia hao masupa woman atawasikiliza na kuchuja mazuri na Yale yasiofaa atawaachia masupa big wapambane nayo....Inategemea amepewa semina na nani, akipewa semina na hii supa woman lolote linaweza kutokea😌View attachment 3180830
Taratibu mkuu.Mimi nasubiri matokeo ya "fomtu"!Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Ni Kama umemaliza nilichotaka kusema,lkn ni kwamba uyo dada ni mvivu tu,,au haonaje aache kazi,ili awe mama wa nyumbani!!, suluhisho hilo laweza kuwa zuri lkn inategemea uyo binti kalelewaje uko alikotoka?au umpe contact akuone ana kwa ana umpe hilo darsa,kuweka mfanyakazi kwaweza vunja ndoa kabisaaa,wasijaribu.Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Huyo mdada hajui maana ya maisha. Malezi yake ndiyo chanzo cha matatizo yake na atavunja ndoa kijinga. Hajui namna ya kumu handle mwanaume. Kwa kawaida hakuna mwanaume eti useme umechoka akusaidie kupika, hayupo! Anachopaswa kufanya awe na ma love 💕 dovaaaa kibao na ampe husbund kukata vitungu yaani kiutani utani. Lakini pia wali awe na rice cooker na maisha yataenda. Ila kutegemea ukoloni atachemshaTumpe ushauri huyu dada
View attachment 3180728
Ila inakuwa ngumu kama wife anajua ratiba kamili ya jamaa, labda jamaa aanzishe mradi au mishe zingine iwe sababu yenye tija ya kuchelewaNdoa ni changamoto, kuua so, hapo jamaa aanze kuchelewa kurudi
Huyo dada nae ameajiriwa anafanya kazi. Kama mshahara wake unasaidia majukumu ya nyumbani basi anatakiwa kusaidiwa kazi za nyumbani.
Kosa la huyo jamaa ni kurudi saa12, ratiba ya kurudi home kwa mwanaume haipo fixed. Ila kusaidiana kazi ni kitu kizuri, kinaleta bond na kuhamasisha mapenzi. Muhimu ni kupangiana, tusupangiwe coz hata wao vipato vyao hatuwapangii
Kazi nizifanye mara ngapi. Sijaoa ila naweza kupika mwenyewe, kufua, kudeki, kuosha vyombo yani sifanyiwi kazi na dada au mama wa kulipa.Huwa mnachukulia simple sio simple kama unavyoongea hapa. Jaribu wewe kufanya hizo kazi kwa wiki moja tu halafu uje hapa kuleta mrejesho.
Pia kumbuka.kwamba na yeye anaenda kazini.
Alichotakiwa kufanya ni kuachana na hiyo ndoa maana huyo muwewe hatabadilika, wanaume wa kiafrika wakishaoa tu wanageuka kuwa viwete. Hata kunawa mikono sink linaweza likawa hapo lkn akataka uje na maji kumnawisha.
Au kama vipi angeolewa na mzungu, wazungu wengi wanasaidia wake zao kazi za ndani.
Ukishaolewa na muafrika hasa mtanzania usitegemee kusaidiwa chochote.
Subiri hayachelewi vuta subraTaratibu mkuu.Mimi nasubiri matokeo ya "fomtu"!
Makosa ni ya mwanaume, añatakiwa awe na nyumba ndogo yq kum keep busy. Akirudi saa 4 atakuta kila kitu tayari.Tumpe ushauri huyu dada
View attachment 3180728
Kàma umezaliwa zamani umebakiza miaka michaçhe sana ya kuishi, huwezi kufika mwisho wa dunia.Aisee sisi wanaume tuliozaliwa miaka ya zamani hatuko tayari na hizo mbanga za 50/50, na hatutakuja kua tayari mpaka mwisho wa dunia 📌
Naam! Mola atuepushilie mbali haya majanga ya 50/50 mpaka sisi wazee tutakapotoweka duniani 🙏Kàma umezaliwa zamani umebakiza miaka michaçhe sana ya kuishi, huwezi kufika mwisho wa dunia.
dah wakujengee sanamu pale siti sentaMi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.
Mambo ya KUBUM KUBAM, ni mwendo wa kwangu kwako, kwangu kwako. Bandika bandua, funika funua... Mnahama viwanja tu, sebuleni, ngoma inahamia bafuni, kisha kitandani mnamalizia.Mi muumini wa ndoa pia naaamini katika ndoa l!!!!!
Ndoa changa unalalamika Nini na huna mimba Wala mtoto mfanyakazi wa nini???? Huo no muda wa kupeana mahaba... Mwanaume ukimshika vizuri mbona anapika , anafua yaani atafanya chochote akufurahishe wamama wa kisasa punguzeni uvuvi!!!! Anaangalia movie hebu vua nguo vaa kimtandio au kinguo cha mtego kamuinamie hapo uone Kama ataangalia hiyo movie... Mpe gemu part one halufu mkimaliza unamchukua bafuni mnaoga unampa gemu mnato mkimaliza mnajisafisha uone Kama hatakusaidia.... Ndoa inataka ubunifu japo mwanaume haridhiki.