Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

Huyo mwanamke ni mpumbavu tu.

There is more solutions to that issues.
1.Kuajili dada wa kazi
2.Kula migawani wakihisi wamechoka

Ninachokiona hapo, anaumia kuona mumewe kapumzika anaangalia TV sebuleni wakatu yeye anafanya kazi.

Na hiyo ndoa itamshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…