USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

Wambulu pamoja na uzuri wao, wanachoka mapema sana. Jichanganye uoe Mbulu umzalishe alafu usimpe matunzo.
 
Age go wengi wanahudumu counter, huku nje wanaachiwa mabinti.
Na hata huko pia bado atakua anajiskia vibaya muda mwingi maana wakware hawatoacha kumchukua lakini hatokua anachukuliwa mara nyingi kama vitoto vibichi.

Mleta uzi huu ushauri wako ni mzuri na wadada wajanja wengi mjini wanafanya hivyo.
Akifika 35+ anahama kabisa mji, anaenda kuanzisha grocery yake huko na maisha mengine kabisa.

Ila vitoto vya buku 2 sijui kama vina mbinu hizo.
 
Nipe code mkuu ili nije nimfariji
 
Wewe hukuonja asali yake?..daah umeme tena?..sad.
 
Kuna bar nilienda, wakati pombe zimeshapanda nikavutiwa na mhudumu. Sikuwa na maneno mengi maana meza ilikuwa inajieleza na yeye akanipa namba.

Sasa ile nimepiga akapokea mwanaume, nikakata bila kuongea.
Nikamwita tena nikamwuliza umenipa namba sahihi kweli? akaangalia akasema ni sahihi.
nikasema sasa mbona anapokea mwanaume? akasema huyo ndio meneja wa bar. Kama unanitaka unampa yule 10,000 cash halafu tunaelewana bei na mimi tunaondoka na ukishamaliza haja mkataba umeisha.
Yaani hiyo 10,000 unakuwa kama umevunja mkataba wa mchezaji.

Ukitaka free agent subiri mpaka bar ifungwe saa 6 usiku ndio uondoke naye.

Yaani siku hizi malaya wanapiga pesa wamejishikiza bar na mameneja wamekuwa kama mameneja wa wachezaji wanakula pesa ya udalali kiulaini tu.
 
Bar maid mzoefu anauza direct na indirect anaweza kutana na vichwa vitatu kwa vya 30k waasubuhi wamchana na wakuondoka nae usiku kama dozi bar maid unaweza pita wiki hajagusa mboga majani
Mkuu hii imeenda💯💯
 
Hii mbinu inawapa sana hela wote, meneja anaweza kuondoka naa 50k ya mikataba ya wahudumu na wahudumu wakaondoka na maokoto ya kutosha kulingana walivyo. Chunguza baa nyingi wahudumu wakiwa off(siku ya kupumzika) bado atakuja hapo bila kuwa na sare ya kazi. Kumbe anatega mingo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…