USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

Hahaha umepanic?

Maandishi Hayapingwi kwa chuki mzee unapaswa uandike kitabu chako kuyakana au kueleza tofauti na yaliyoelezwa mule. Vinginevyo ni UJUHA wa kulazimisha mambo?

Lakini una huo utamaduni wa kusoma VITABU hata hiki kiwe cha pili?
 
Nchi hii watu wake wanatamani Yale ya Sudani eee mwenyezi Mungu tuhepushe na wazandiki.
 
Ukishakuwa Rais MTU yeyote anaweza kuandika kitabu chochote ilimradi havunji sheria na familia ya Rais isidai chochote kama fidia...
Acha kudanganya watu wewe,ujinga wako peleka huko. Hutakiwi kuandika kitu juu ya yeyote yule bira kubalance, Rais ni Mali ya umma ni nembo ya nchi,ndio taaswira ya Taifa, huwezi kumchafua kiongozi wa nchi bira kuidharirisha na kuibagaza nchi.huwezi kuitwa rais bira taasisi ya urais kuichafua.
 
Hahaha umepanic?
Maandishi Hayapingwi kwa chuki mzee unapaswa uandike kitabu chako kuyakana au kueleza tofauti na yaliyoelezwa mule. Vinginevyo ni UJUHA wa kulazimisha mambo?
Lakini una huo utamaduni wa kusoma VITABU hata hiki kiwe cha pili?
Uandishi una kanuni zake mkuu,na kiongozi mkuu wa nchi ni Mali ya umma,hairuhusiwi tu kila mtu akurupuke kuandika upumbavu wake bira mamlaka kuhariri kazi yake.
 
Acha kudanganya watu wewe,ujinga wako peleka huko.hutakiwi kuandika kitu juu ya yeyote yule bira kubalance,rais ni Mali ya umma,ni nembo ya nchi,ndio taaswira ya Taifa,huwezi kumchafua kiongozi wa nchi bira kuidharirisha na kuibagaza nchi.huwezi kuitwa rais bira taasisi ya urais kuichafua.

Unajua maana ya kumchafua MTU?

Kuandika habari au hadithi ya kweli ya Matendo mabaya ya Rais kama alifanya kweli tangu lini ikawa kumchafua Rais?

Kitu MTU kama hajafanya na ukamuelezea Kwa ubaya ambao hajafanya ndio kunaitwa kumchafua, pia ni kosa kisheria kama atakushtaki.

Mtu kumsifia Kwa Jambo ambalo hajalifanya hiyo inaitwa Kumpaka MTU Kwa mgongo WA chupa, pia unaweza kushtakiwa Kwa kuzusha Uongo.
 
Kwa hiyo Membe ka7bisha ubadili jina kutoka mwanaharakati huru kwenda mwanaharakati mwema?

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
 
Uandishi una kanuni zake mkuu,na kiongozi mkuu wa nchi ni Mali ya umma,hairuhusiwi tu kila mtu akurupuke kuandika upumbavu wake bira mamlaka kuhariri kazi yake.
Bora = bila
Unafikiri nn kibaya pale kilichoandikwa ambacho umma hautakiwi kujua?
Aakija muandishi kesho akiandika kitabu cha kumsifia magufuli utataka hicho kitabu nacho kihaririwe?
 
M

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Moyoni mwako.
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Pole sana ila ni bahati mbaya kwamba ukishakuwa kiongozi unakuwa public property kwa yote unayofanya ukiwa ofisi ya umaa. Picha zote alizopiga akiwa raisi ilmradi sio katika privacy zake ni mali ya umma.
 
Ansbert Ngurumo si anamzungumzia "JIKONO JANDAMA"? Picha inaendana na context.
 

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Unapoint hapa. Wakishindwa walinda legacy tutaenda
 
Kama Kuna walioandika mabaya ya mwendazake hawana kosa ni haki yao na uhuru wao, pia na ww upo huru kuandika mazuri yake hamna wa kukuzuia

Mara nyingi kama ulifanya kazi kubwa na inayoonekana hata uandikwe vibaya kiasi gani bado legacy yako itaishi ndani ya nchi mfano mwalimu Nyerere ameacha legacy yake nzuri tu wapo wanaojaribu kupotosha kuhus mwalimu Nyerere mfano mzee Mohamed Said lakini bado mema ya nchi yanaishi
 
Acha kudanganya watu wewe,ujinga wako peleka huko. Hutakiwi kuandika kitu juu ya yeyote yule bira kubalance, Rais ni Mali ya umma ni nembo ya nchi,ndio taaswira ya Taifa, huwezi kumchafua kiongozi wa nchi bira kuidharirisha na kuibagaza nchi.huwezi kuitwa rais bira taasisi ya urais kuichafua.
Bira= bila?
Ulishafanya research popote pale kwenye maishani mwako???
Usilazimishe yasiyowezekana bhana.kingeandikwa kitabu cha kusifia ungeuliza haya yote?
Uhuru wa habar ni oamoja na kusikia usiyopenda kusikia wewe bwana
 
Back
Top Bottom