residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huyo nimemripoti kwa Uhamiaji kitambo,ni mrundi.Waharifu-Wahalifu.
Nyie sio watz
Nani ajuaye?
Ninaamini vipo hivyo vitabu.
Ungeanzisha Uzi kuulizia hivyo vitabu nafikiri wanaovijua watakutajiak
Nani ajuaye?
Ninaamini vipo hivyo vitabu.
Ungeanzisha Uzi kuulizia hivyo vitabu nafikiri wanaovijua watakutajia mwenye haki ya kuhumu ni mahakama
Nani ajuaye?
Ninaamini vipo hivyo vitabu.
Ungeanzisha Uzi kuulizia hivyo vitabu nafikiri wanaovijua watakutajia
Mbona Nyerere Kuna kitabu kinaelezea ubaya wake. In fact vitabu vingi vya Rwanda na Uganda vinavyofundishwa shuleni vinamuweka Nyerere kama part of dictators Wala hakuna kinachosema ni mkombozi sijui whatever. Ndio sembuse JPM?Ukiona hadi kinatungwa kitabu kabisa cha kueleza mabaya basi mazuri yatakuwa mengi yatakuwa ndio yenye kujulikana zaidi ndio maana ukaonekana uhitaji wa kueleza na hayo mapungufu.
Ukizingatia ukweli kwamba kweli JPM alikuwa diktetaMbona Nyerere Kuna kitabu kinaelezea ubaya wake. In fact vitabu vingi vya Rwanda na Uganda vinavyofundishwa shuleni vinamuweka Nyerere kama part of dictators Wala hakuna kinachosema ni mkombozi sijui whatever. Ndio sembuse JPM?
Mbona kama umepanic!Mbona Nyerere Kuna kitabu kinaelezea ubaya wake. In fact vitabu vingi vya Rwanda na Uganda vinavyofundishwa shuleni vinamuweka Nyerere kama part of dictators Wala hakuna kinachosema ni mkombozi sijui whatever. Ndio sembuse JPM?
Ndio nakueleza kwamba sio kwamba mazuri yanafahamika ila ni kwamba mabaya huwa hayasemwi huku Afrika especially kwa viongozi madikteta maana unaweza kamatwa au kuuwawa.Hoja yangu ni kwamba imeonekana mazuri mengi ya Magufuli yanajulikana ndio maana ukaonekana ulazima wa kutunga kabisa kitabu(kwa ajiri ya waafrika tena hasa watanzania)
Alipokuwa rais sio sasa na sio kibiashara binafsi ya kujinufaisha na kutafuta pesa.Magufuli ni Mali ya umma
Yapo mengi mazuri aliyoyafanya likiwemo Hilo la ubunifu kujenga hospitali KUBWA Chato.Mazuri yapi??? Mabaya 80%!!! ndo maana anaongewewa kwa yale mabaya ili isije kutukea mtu mwingine kama JMP aongoze tena taifa hili. Hii ndo maana inawekwa kwenye kitabu!!
Hospitali kubwa Chato Mkuu??? Imebidi nicheke hapa kwa sauti!! Hah haha haha !Yapo mengi mazuri aliyoyafanya likiwemo Hilo la ubunifu kujenga hospitali KUBWA Chato.
Kwa issue ya Magufuli yashaelezwa mengi mabaya yake hadi tumekinai na hadi sasa bado zoezi hilo linaendelea hivyo hicho kitabu ni muendelezo tu, kwa upande wangu labda nipate kitabu chenye kueleza mabaya ya hao viongozi wengine ili nipate kujua mabaya ambayo hayakuwa yakisemwa.Ndio nakueleza kwamba sio kwamba mazuri yanafahamika ila ni kwamba mabaya huwa hayasemwi huku Afrika especially kwa viongozi madikteta maana unaweza kamatwa au kuuwawa.
Na nimetoa mfano wa Uganda sababu huwa tunadhani sababu tuliwakomboa ndio wangempa credit ila wapi bado wanamuona dikteta Hadi Leo meaning mazuri hata yakiwepo hayawezi ficha mabaya Yako.
Hapa Tanzania vipo vitabu pia kimoja kilifungiwa kile cha kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru!! Pia Kuna kile Cha muhaya mmoja hivi aliandika maovu ya Nyerere A to Z. So usitafsiri kwamba mazuri yanajulikana la hasha maovu hata yakiwa mengi kuliko mazuri huwezi yaongelea mbele ya Dikteta.
Kwa hiyo Chato hawastaili huduma, hospitali kama hiyo si imejengwa Lindi.Hospitali kubwa Chato Mkuu??? Imebidi nicheke hapa kwa sauti!! Hah haha haha !
Hospitali kubwa sana Chato ndo mazuri??
Nimekuelewa Mkuuu!
Lindi ndii ni Makao makuu ya mkoa siyo Chato ! Hakuna makao makuu yaa wilaya serikali imejenga hospitali ya rufaaKwa hiyo Chato hawastaili huduma, hospitali kama hiyo si imejengwa Lindi.
Kushtaki au kutoshtaki pale unapochafuliwa au ndugu yako anapochafuliwa ni hiyari ya wahusika hivyo kama hawa wanatafuta pesa kupitia mgongo wa kivuli cha mabaya ya magufuli lakini kama wangekuwa wanadhamira njema ya kuliponya taifa wangeeleza na mazuri yake Kwa Sababu rais ana Pande mbili wanaompenda na wanaomchukia.Mbona Nyerere Kuna kitabu kinaelezea ubaya wake. In fact vitabu vingi vya Rwanda na Uganda vinavyofundishwa shuleni vinamuweka Nyerere kama part of dictators Wala hakuna kinachosema ni mkombozi sijui whatever. Ndio sembuse JPM?
Ukishakuwa Rais MTU yeyote anaweza kuandika kitabu chochote ilimradi havunji sheria na familia ya Rais isidai chochote kama fidia.
Rais ni Mali ya umma.
Ni kama uandike kitabu cha mlima Kilimanjaro.
Ingawaje haifai kuandika vitu vyenye lengo la kuangusha na kulibomoa taifa.
Kuhusu JPM anamazuri yake na Mabaya yake. Kama kuna mabaya yake yaandikwe ili kizazi kingine kijifunze ilimradi asisingiziwe.
Na watakaoandika mazuri waandike ili kizazi kijacho kijifunze, ilimradi wasimuongezee sifa ambazo hakufanya.
Kama hautaki kuandikwa na watu basi usiwe public figure hasa Kwa level ya uraisn
Naomba uelewe mambo yafuatayo: rais Ni taasisi inalindwa kisheria ,inaruhusiwa kumkosoa rais akiwa madalakani lakini linapofika suala la tuhuma linamuhusu mtu binafsi ambaye ni mtu anayeongoza taasisi ya urais.Ukishakuwa Rais MTU yeyote anaweza kuandika kitabu chochote ilimradi havunji sheria na familia ya Rais isidai chochote kama fidia.
Rais ni Mali ya umma.
Ni kama uandike kitabu cha mlima Kilimanjaro.
Ingawaje haifai kuandika vitu vyenye lengo la kuangusha na kulibomoa taifa.
Kuhusu JPM anamazuri yake na Mabaya yake. Kama kuna mabaya yake yaandikwe ili kizazi kingine kijifunze ilimradi asisingiziwe.
Na watakaoandika mazuri waandike ili kizazi kijacho kijifunze, ilimradi wasimuongezee sifa ambazo hakufanya.
Kama hautaki kuandikwa na watu basi usiwe public figure hasa Kwa level ya urais