Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Pesa hizo kipewe chama cha mapinduzi kwa kuonesha uzalendo na uvumilivu kwenye uchaguzi.Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendekeacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y mitaa. Naomba serikali sikivu ya Jemedari John Pombe Magufuli izitumie pesa nusurika kujenga vituo vya Afya kwa kadiri ya bajeti ya ujenzi wa kituo kimoja cha Afya kwa wakati huu. Wao kama serikali kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi wanafahamu kiasi kilichookolewa na pia tungependa kama wana wa nchi tujuzwe hiyo bakaa.
Hapana, hela zifanye jambo la maendeleo.Pesa hizo kipewe chama cha mapinduzi kwa kuonesha uzalendo na uvumilivu kwenye uchaguzi.
Naunga mkono 100%Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendekeacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y mitaa. Naomba serikali sikivu ya Jemedari John Pombe Magufuli izitumie pesa nusurika kujenga vituo vya Afya kwa kadiri ya bajeti ya ujenzi wa kituo kimoja cha Afya kwa wakati huu. Wao kama serikali kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi wanafahamu kiasi kilichookolewa na pia tungependa kama wana wa nchi tujuzwe hiyo bakaa.
Sawa sawaNaunga mkono 100%
Afya kwanza.Zitumike kuanzisha Kilimo Incentive...
DuuhhWEWE!NCHI INACHANGIWA CHANGIWA KAMA IPO MSIBANI!!
Ndiyo maana nikashauri bakaa ya uchaguzi tutumie kujenga vituo vya Afya, haijalishi ni viwili, vinne au Kumi. Sio haba.WEWE!NCHI INACHANGIWA CHANGIWA KAMA IPO MSIBANI!!
Hujui niniCjui
Leo tumepewa gawio kutoka mashirika ya ummaWEWE!NCHI INACHANGIWA CHANGIWA KAMA IPO MSIBANI!!
Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendekeacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk.
Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y mitaa. Naomba serikali sikivu ya Jemedari John Pombe Magufuli izitumie pesa nusurika kujenga vituo vya Afya kwa kadiri ya bajeti ya ujenzi wa kituo kimoja cha Afya kwa wakati huu. Wao kama serikali kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi wanafahamu kiasi kilichookolewa na pia tungependa kama wana wa nchi tujuzwe hiyo bakaa.
Bado, Nina uhakika 100%. Kata zipo ngapi humu nchini? Kuna vituo vingapi vya afya? Usichanganye kituo cha Afya na hospital za wilaya. Sipo huko.Vituo vya afya vimejengwa nchi nzima.
Bado, Nina uhakika 100%. Kata zipo ngapi humu nchini? Kuna vituo vingapi vya afya? Usichanganye kituo cha Afya na hospital za wilaya. Sipo huko.
Acha ubishiNime zunguka nchi nzima hii, kila kata inakituo cha afya. Zahanati ndo usiseme. Magufuli yuko very strategic miradi inagusa kila. Idara.
Huu ushauri sio mzuriPesa hizo kipewe chama cha mapinduzi kwa kuonesha uzalendo na uvumilivu kwenye uchaguzi.
Huu ushauri haukufaa kabisaPesa hizo kipewe chama cha mapinduzi kwa kuonesha uzalendo na uvumilivu kwenye uchaguzi.