wanawake wapo tofauti sana sio kila mwanamke bikra atatokwa na damu akikutana na mwanamke kimapenzi
kuna aina nyingi sana (sijui niseme za bikra or whatever)
wengine hutokwa na damu pale wanaposex siku ya kwanza
wengine hutokwa na damu baada ya kumaliza sex hata masaa3 baadae
wengine wakienda kukojoa baada ya kichapo heavy
wengine hata baada ya siku 2
wengine wakirudia sex mara ya 2,3,4 na kuendelea
wengine hawatokwi na damu ndiyo kama wewe sasa
we kama vipi kuja kwangu damu inaweza ikakutoka.......joking kidogo
bikra ni kama utando tu wa buibui ukiguswa tu na dhakari,uume,penis,mashine,mkwaju,dushe,mnara,mashine ndio damu huanza kutoka
ujinga wa bwana wako ni kujua kuwa bikra ni damu wakati bikra ni mtu asiewahi kusex even a day
binadamu tupo na maumbile tofauti
BTW nipo single mtoa post hapa nikirie kidogo
nipo PM nakusubiri 24/7