kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Kweli hii sio chai mkuu nahitaji ushauriChai
Kama mtu hawezi kuolewa kisa weakness yako hakufai kwenye shida na raha mtemeKweli hii sio chai mkuu nahitaji ushauri
Sio kiziwi kabisa nina usikivu hafifu wa kuchelewa kusikia sautiMkuu wewe ni kiziwi kabisa au una usikivu hafifu?
Mwanamke alimwambia best yake mtu mwenyewe hasikii nitampeleka wapiBaadhi ya binadamu watacheka. Cha msingi ni kuwapuuza tu kwakuwa wewe hukutaka uwe hivyo ulivyo
aiseh maumivu uliyoyasikia I can feel it...Mwanamke alimwambia best yake mtu mwenyewe hasikii nitampeleka wapi
Anakuchuna yaan kakufanya danga lake la kuchuma pesa, acha kumpa pesa ndio utaiona rangi yake halisi.Mwanamke alimwambia best yake mtu mwenyewe hasikii nitampeleka wapi