Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Mkuu hauna haya sana kujisikia vbaya kuoa tafuta mtu ataekubali mapungufu yako ni bora huyo ameyakataa mapungufu yako wew songa mbele

Si maninish upande wako binadamu tunamapungufu ya ain nyingi
 
mkuu pole sana kwa yaliyo,kukuta. binafsi pia ni mtu mwenye ulemavu. mimi ni mtu nisiyeona kabisa. hivyo, ninauzoefu wa aina fulani na masuala ya mauhusiano kwa watu wenye ulemavu.
kwanza kabisa bado jamii kwa kiwanog kikubwa haijaelewa kuwa watu wenye ulemavu wana mchango mkubwa tu katika ujenzi wa familia na jamii kwa ujumla. hivyo mtu kua nzisha familia na wewe mara nyingi anaona kama amekuhurumia. yani kuwa na kama hisani. hivyo ni muhimu kwa na ufahamu juu ya hili.
suala la muhimu hapa ni kufahamu kwamba unatakiwa kujikubali na kujiamini. vaa vizuri na pia jichanganye na watu na kila kazi au jambo unalopewa lifanye kwa ukaimilifu ili watambue mchango wako katika jambo hilo.,.
kuhusu suala la kuchagua mke nachoweza kukushauri ni kwamba chukua muda wa kutosha kuchunguza maisha na mienendo ya mtu unayetaka kumuoa. kwa maana mke wako atakauwa na majukumu ya aina kuu mvili.
kwanza kupambana na mitazamo ya kijamii juu ya yeye kuishi na wewe.
pili kupambana na changamoto za kimaisha juu ya namna gani bora ya kuishi na wewe na baada ya ninyi kuzaa watoto.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tufanye wewe ndo ungekuwa yeye ungekubali?
Anayawaza hayo baada ya kuhudumiwa kwa muda mrefu kwanza. [emoji1787][emoji1787] saanyingine nyie watu sijui tuwaelewaje. Unataka avae uhusika wake, huyo mwanamke amevaa viatu vya mwanaume. I don't know ila dunia ya sasa kuna vijitabia vya ubinafsi ambavyo wanawake hufanya ila wakifanya wanaona wanaume wote mbwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka kulala chumba cha hoteli pasipo kulipia baadae unasema silipii kwakuwa air conditioner au kitanda kibovu, siusinge lala sasa kama kibovu.
 
Anayawaza hayo baada ya kuhudumiwa kwa muda mrefu kwanza. [emoji1787][emoji1787] saanyingine nyie watu sijui tuwaelewaje. Unataka avae uhusika wake, huyo mwanamke amevaa viatu vya mwanaume. I don't know ila dunia ya sasa kuna vijitabia vya ubinafsi ambavyo wanawake hufanya ila wakifanya wanaona wanaume wote mbwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka kulala chumba cha hoteli pasipo kulipia baadae unasema silipii kwakuwa air conditioner au kitanda kibovu, siusinge lala sasa kama kibovu.
Wewe una wanawake wangapi umewatumia kwa ahadi ya ndoa na hujawaoa? Mkiacha ubinafsi dunia itakuwa sehemu salama.
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Usilazimishe ndoa, ndoa ni taasisi inayoundwa na watu wa jinsi mbili tofauti waliokubaliana kwa HIYARI kuishi kinyumba.
 
Wewe una wanawake wangapi umewatumia kwa ahadi ya ndoa na hujawaoa? Mkiacha ubinafsi dunia itakuwa sehemu salama.
Nimuahidi mwanamke ndoa mimi sina akili au sijui kuingia kwenye ndoa ni nini. Sijawahi kuahidi mwanamke ndoa ila wao ndio hulazimisha ndoa. Halafu ubinafsi upo wapi😂😂😂, hivi mnajua wanawake sikuizi mnalazimisha kulala na mwanaume wenyewe halafu mnasema nilikuahidi ndoa. Pia ninayehenyeka kiuchumi ni mimi sio wewe, sijawahi kumuona mwanamke yeyote anipe zawadi au kunisaidia mimi ila wao sasa😂😂😂, huwezi amini mtu kaolewa lakini akiwa na shida ya kiuchumi anakufuata wewe wakati mtu anamme wake. Siunamdhalilisha mmewe, naukimuuliza mmewe anajua anakwambia yeye hausiki, seriously 😂😂😂, yaani mnaubinafsi acheni. Ndoa sio neno tu ni ibada takatifu.
 
Heh!!Jamani pole.
Achana nae si riziki yako huyo
 
Nimuahidi mwanamke ndoa mimi sina akili au sijui kuingia kwenye ndoa ni nini. Sijawahi kuahidi mwanamke ndoa ila wao ndio hulazimisha ndoa. Halafu ubinafsi upo wapi😂😂😂, hivi mnajua wanawake sikuizi mnalazimisha kulala na mwanaume wenyewe halafu mnasema nilikuahidi ndoa. Pia ninayehenyeka kiuchumi ni mimi sio wewe, sijawahi kumuona mwanamke yeyote anipe zawadi au kunisaidia mimi ila wao sasa😂😂😂, huwezi amini mtu kaolewa lakini akiwa na shida ya kiuchumi anakufuata wewe wakati mtu anamme wake. Siunamdhalilisha mmewe, naukimuuliza mmewe anajua anakwambia yeye hausiki, seriously 😂😂😂, yaani mnaubinafsi acheni. Ndoa sio neno tu ni ibada takatifu.
Kumbe una makasiriko pole!! Byee
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake
Usishughulikie Tetesi tafuta ukweli kutoka kwa muhusika na hata bila kuambiwa utajua tu kama mtu anakutaka au hakuaki (akufukuzae akwambii toka)
anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Kama anasema hayo case closed (ndoa ni ya wawili na sio mmoja) kwahio kama hataki sio mimi, wewe au ushauri wa yoyote anayeweza kubadilisha msimamo wake, ila kama unajua unaweza kumbadilisha all the best, anyway inategemea ni kiziwi kiasi gani unaweza ukapata hearing aids na wala isiwe issue sana

By the way kama anaishi maisha ya kuangalia watu huyo yupo Vain, na hilo ni tatizo kubwa kuliko hata kukukubali au kukukataa (maisha yake yatakuwa ya kutaka kuridhisha watu na mwisho wa siku hataweza kumrisha yoyote including mwenyewe)
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Sasa mtu hataki kuolewa na wew,tena unaomba ushauri watu eti utafanyaje!! Haya mfunge kamba umburuze mpk kanisan au msikitin.
 
Aisee, pole jibu unalo mwenyewe kama umesikia akisema hivyo na bado unampa hela, sisi tukikushauri umuache utakubali? ni wazi kabisa huyo hakufai Mkuu
 
Pita kushoto bro tafuta mtu sahihi kwako ukisema umuombe sana kuwa nae basi utakuja juta maisha yako yote
 
Ningekuwa wewe ningeshakimbia muda.

Siwezi lazimisha mapenzi, au mahusiano.

Kama mtu hakupendi na hayuko tayari kukubali na Hali yako mzee achana nae. Usijimiuze kichwa.

Zingatia maokoto TUNZA KIBUNDA CHAKO.

Acha kujipa stress atakayrkupenda kwa dhati atakuja mwenyewe usilamishe mambo na kujipa stress

Furahia maisha haya pambania uchumi wako.
 
Back
Top Bottom