mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Sio kilausikivu hafifu unatatuliwa na hizo.Kama una usikivu wa mbali kwanini usijaribu kutafuta zile earing aids ili usikivu uwe mzuri
But huyo mwanamke si sahihi kwako,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kilausikivu hafifu unatatuliwa na hizo.Kama una usikivu wa mbali kwanini usijaribu kutafuta zile earing aids ili usikivu uwe mzuri
But huyo mwanamke si sahihi kwako,
Wewe ndio umethibitisha kua una uelewa hafifu na uache kiherehere,Jf kila mtu ana uelewa wake[emoji28][emoji28] wengine hawaelewi aliyekwambia Mwamba hagongi ni Nan? Kaa utulie usome vzuri ndo utoe ushauri
Sio kwamba ni kiziwi nafikiri amekosea tu kuandika. Labda ana tatizo la kutokusikia vizuri.
Una uelewa mdogo sana tofautisha ndoa na sex ,yeye anazungumzia ndoa wee unaongelea umalaya😅😅Wewe ndio umethibitisha kua una uelewa hafifu na uache kiherehere,
Amesema kila mdada akimueleza hisia zake anamkataa na mimi nimetoa shuhuda ya mtu mwenye changamoto kama yake ila wanawake hawamkatai,
Haya hapo wewe muelewa sana umeelewa nini.
NAkubali ila je ameshaenda akaambiwa hizo hazimfai,mana mi kuna mtu namjua yeye hasikii kabisa uwezo wa kusikia umepotea so anatumia hizoSio kilausikivu hafifu unatatuliwa na hizo.
Kukataliwa ni kwawida hata kwa watu wenye uzima kabisa kwa kila kitu. kWA SABABU ALISEMA HAWEZI KUOLEWA NA WEWE KISA SHIDA HIYO BASI ACHANA NAYE TAFUTA MWINGINE SWALA LA KUOA NI SWALA PANA ,MNO SI KILA DEMU ATAKUFAA HAPO SHUKURU USHAJUA KUA HAKUFAI USILAZIMISHE MAPENZI.Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Elewa hearing aid devices sio nzuri kwa mtu mwenye tinnitus hazifai labda yule kiziwi kabisa ...kwa sababu zile zinavuta sauti kwa sana .NAkubali ila je ameshaenda akaambiwa hizo hazimfai,mana mi kuna mtu namjua yeye hasikii kabisa uwezo wa kusikia umepotea so anatumia hizo
Ndio ulipaswa kumuuliza kama hajawahi kupima, nimekuambia hizo vitu haziko kwa kila asiyesikia. Unaweza ujawa unasikia kidogo lakini bado zisifanye kazi na kuwa usumbufu kwenye masikio yakoNAkubali ila je ameshaenda akaambiwa hizo hazimfai,mana mi kuna mtu namjua yeye hasikii kabisa uwezo wa kusikia umepotea so anatumia hizo
Maswali ya kipuuzi hayo hakupendi sababu wewe ni kiziwi,na ukiziwi ni tatizo la milele basi achana nae tafuta atakaekupendaWadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Husikii kabisa au unasikia kwa mbalii?
Ninapoishi kuna kijana anatufanyia usafi ana usikivu wa mbali ukiongea nae unavuta kwanza pumzi ndefu ndio utoe sauti kali ili akusikie lakini mbona yupo fresh na anagonga mademu mtaan kama kawaida
Duh pole sana ,kwahy husikii chochote ,unawasiliana kwa namna gani?Sisikii kabisa mkuu yaan masikio yalishaziba kabisa..kifupi nina tinnutus ambayo niliipata baada kuchomwa sindano ya kwinin
Duh pole sana ,kwahy husikii chochote ,unawasiliana kwa namna gani?
basi na mwanaume kukosa hela nayo ni ulemavuExactly
Wewe chizi umeaibika vibaya ulivyojijua umedandia treni kwa mbele, mimi nilikua namjibu mtoa mada au huyo mwingine? Komwe kubwa kama kibanda cha voda[emoji57]Una uelewa mdogo sana tofautisha ndoa na sex ,yeye anazungumzia ndoa wee unaongelea umalaya[emoji28][emoji28]
Doh pole sana,Sisikii kabisa mkuu yaan masikio yalishaziba kabisa..kifupi nina tinnutus ambayo niliipata baada kuchomwa sindano ya kwinin
Sina mda wa kubishana na single mother kama wewWewe chizi umeaibika vibaya ulivyojijua umedandia treni kwa mbele, mimi nilikua namjibu mtoa mada au huyo mwingine? Komwe kubwa kama kibanda cha voda[emoji57]
Pole sana kiongozi utapata mtu sahihi wa ndoaMim huwa naangalia lips za mdo zinavyocheza ndo naelewa but nikishindwa kabisa kuelewa huwa natumia njia ya sms