Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Mungu anapenda uwe jinsi alivyokuumba ingawa inaweza isiwapendeze wengi,cha maana hapo ni kuachana nae huyo maramoja usibembeleze upendo,utaumia! Tafuta mtu aliye tayari kuishi nawewe pamoja na mapungufu yako
 
Me pisi nazipata sema huyu nimeambiwa tu anavyosema sina uhakika
Sasa wewe puuza! Usiumizwe na hayo maneno, kila binadamu ana mapungufu yake kwa namna fulani iwe kimaumbile , kitabia n.k, take easy!.

Kuna watu wazima kwa nje kwa ndani ini bovu, figo, maratizo luluki so play ur part.

Tafuta mwingine utapata wa kufanana nae, watu hawana miguuu yote na wana familia nzuri tu zenye furaha.
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
We mwenyewe unajua cha kufanya, ameshakuonesha makucha yake. Ila kwanini hujachukua maamuzi?
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Mtafute anayekupenda na hali yako achana na huyo hakufai
 
Mimi nina tatizo linalofanana na lako kwa kiasi fulani, nina tatizo linaitwa tinnitus nilipata nikiwa form one 2007. Nilipoteza uwezo wa kusikia kwa 80%.

Kwa experience yangu sidhani kama its a big issue maana nishakua na relationship kibao tu since niko secondary mpaka chuo na mpaka sasa walikua mademu wananielewa sana and the ladies didn’t give a shit about my problem. Na saiv nna pisi moja kali sana tunaoana mwaka huu, tena ni mdada mzuri haswa.

I can say uyo dada hakupendi tu. Pia jiamini na tafuta pesa, narudia tena make sure uko na pesa. Mapenzi hayaangalii hizo issues ni kwamba uyo anakutafutia sababu tu akuache ila hakupendi.

Mimi nafundisha chuo pia, wanafunzi kibao have crush on me. Wako wengine wananiibukia live. So siwezi sema kuwa na shida hio inaweza kuwa sababu mtu asipendwe.

Jaribu kujitathmini kwny maisha yako kuna mahala unakosea au haujiamini au hauchkui nafasi yako kama mwanaume. Kuhusu tatizo lako weka pembeni kwanZa focus on building yourself
 
Achana nae haraka ukimwoa atakusumbua sana
 
Usihuzunike mkuu,binadamu ndivyo tulivyo...Yaan hakuna binadamu Mtakatifu kwenye madhaifu....sema tunakushauri tu Ili ufanye maamuz sahihi.Wewe hujawahi ona thread humu za kutupinga single mom? Au thread kupinga kibamia,kupinga wanawake wasomi,kupinga wanawake maskini, wanaume maskini....mtu anajitukuza kabisa huyu singlemom namla tu papuchi ila sitomwoa....mambo haya yapo duniani na ni kawaida....hata wewe ukiletewa kiwete umwoe ni Lazima utaruka futi 100
 
Usihuzunike mkuu,binadamu ndivyo tulivyo...Yaan hakuna binadamu Mtakatifu kwenye madhaifu....sema tunakushauri tu Ili ufanye maamuz sahihi.Wewe hujawahi ona thread humu za kutupinga single mom? Au thread kupinga kibamia,kupinga wanawake wasomi,kupinga wanawake maskini, wanaume maskini....mtu anajitukuza kabisa huyu singlemom namla tu papuchi ila sitomwoa....mambo haya yapo duniani na ni kawaida....hata wewe ukiletewa kiwete umwoe ni Lazima utaruka futi 100
Mbona viwete wake kwa waume wanaolewa sana! Tena wanabarikiwaga watoto wazuri sana!
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Tea bila sugar.
 
Back
Top Bottom