Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mshamba wa wapi wewe?Tufanye wewe ndo ungekuwa yeye ungekubali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba wa wapi wewe?Tufanye wewe ndo ungekuwa yeye ungekubali?
Safi sana ni mfano mzuri ,Huo ndo uanaume kujikubali.Mimi nina tatizo linalofanana na lako kwa kiasi fulani, nina tatizo linaitwa tinnitus nilipata nikiwa form one 2007. Nilipoteza uwezo wa kusikia kwa 80%.
Kwa experience yangu sidhani kama its a big issue maana nishakua na relationship kibao tu since niko secondary mpaka chuo na mpaka sasa walikua mademu wananielewa sana and the ladies didn’t give a shit about my problem. Na saiv nna pisi moja kali sana tunaoana mwaka huu, tena ni mdada mzuri haswa.
I can say uyo dada hakupendi tu. Pia jiamini na tafuta pesa, narudia tena make sure uko na pesa. Mapenzi hayaangalii hizo issues ni kwamba uyo anakutafutia sababu tu akuache ila hakupendi.
Mimi nafundisha chuo pia, wanafunzi kibao have crush on me. Wako wengine wananiibukia live. So siwezi sema kuwa na shida hio inaweza kuwa sababu mtu asipendwe.
Jaribu kujitathmini kwny maisha yako kuna mahala unakosea au haujiamini au hauchkui nafasi yako kama mwanaume. Kuhusu tatizo lako weka pembeni kwanZa focus on building yourself
Unazngua mkuuu[emoji23]Umesema wewe ni kiziwi, hapo hapo unasema "UMESIKIA" tetesi.. Is it possible?
Au nimekosea kaka?Unazngua mkuuu[emoji23]
Amesema uwezo anao wa kuskia ila no hafifu sana na anachelewa kusikiaAu nimekosea kaka?
Aaah... Ok! Sikumuelewa vizuri Mkuu, nimejiuliza sana hizo tetesi kaskiaje kumbe nilikua sijaelewa.Amesema uwezo anao wa kuskia ila no hafifu sana na anachelewa kusikia
[emoji106]Aaah... Ok! Sikumuelewa vizuri Mkuu, nimejiuliza sana hizo tetesi kaskiaje kumbe nilikua sijaelewa.
Husikii kabisa au unasikia kwa mbalii?Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Jf kila mtu ana uelewa wake😅😅 wengine hawaelewi aliyekwambia Mwamba hagongi ni Nan? Kaa utulie usome vzuri ndo utoe ushauriHusikii kabisa au unasikia kwa mbalii?
Ninapoishi kuna kijana anatufanyia usafi ana usikivu wa mbali ukiongea nae unavuta kwanza pumzi ndefu ndio utoe sauti kali ili akusikie lakini mbona yupo fresh na anagonga mademu mtaan kama kawaida
Nasikitika kusikia hilo, lakini kumbuka kwamba kuwa kiziwi siyo sababu ya kutopata mwenza. Ni muhimu kuwa na mawasiliano wazi na mpenzi wako na kuelezea hali yako. Pia, unaweza kujaribu kumuomba msaada wa rafiki yake au ndugu yake kuwasiliana na mpenzi wako ili kufafanua mambo na kumsaidia kuelewa hali yako. Pia, ni muhimu kuelewa kwamba ndoa sio lazima, unaweza kujenga maisha mazuri na mwenza bila kufunga ndoa.Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Pole mkuuuDah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Swali la hovyo hiliJe kwenye sex Unasikia Utamu?
over sasa na soma comment tuKama mtu hawezi kuolewa kisa weakness yako hakufai kwenye shida na raha mteme
ExactlyKwani KE kukosa tako ni ulemavu?
Kuna rafiki yangu wakike anakufaa maana hata yeye anatatizo kama lakoWadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.