Mkuu hauna haya sana kujisikia vbaya kuoa tafuta mtu ataekubali mapungufu yako ni bora huyo ameyakataa mapungufu yako wew songa mbeleWadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Anayawaza hayo baada ya kuhudumiwa kwa muda mrefu kwanza. [emoji1787][emoji1787] saanyingine nyie watu sijui tuwaelewaje. Unataka avae uhusika wake, huyo mwanamke amevaa viatu vya mwanaume. I don't know ila dunia ya sasa kuna vijitabia vya ubinafsi ambavyo wanawake hufanya ila wakifanya wanaona wanaume wote mbwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka kulala chumba cha hoteli pasipo kulipia baadae unasema silipii kwakuwa air conditioner au kitanda kibovu, siusinge lala sasa kama kibovu.Tufanye wewe ndo ungekuwa yeye ungekubali?
Wewe una wanawake wangapi umewatumia kwa ahadi ya ndoa na hujawaoa? Mkiacha ubinafsi dunia itakuwa sehemu salama.Anayawaza hayo baada ya kuhudumiwa kwa muda mrefu kwanza. [emoji1787][emoji1787] saanyingine nyie watu sijui tuwaelewaje. Unataka avae uhusika wake, huyo mwanamke amevaa viatu vya mwanaume. I don't know ila dunia ya sasa kuna vijitabia vya ubinafsi ambavyo wanawake hufanya ila wakifanya wanaona wanaume wote mbwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka kulala chumba cha hoteli pasipo kulipia baadae unasema silipii kwakuwa air conditioner au kitanda kibovu, siusinge lala sasa kama kibovu.
Usilazimishe ndoa, ndoa ni taasisi inayoundwa na watu wa jinsi mbili tofauti waliokubaliana kwa HIYARI kuishi kinyumba.Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Nimuahidi mwanamke ndoa mimi sina akili au sijui kuingia kwenye ndoa ni nini. Sijawahi kuahidi mwanamke ndoa ila wao ndio hulazimisha ndoa. Halafu ubinafsi upo wapiπππ, hivi mnajua wanawake sikuizi mnalazimisha kulala na mwanaume wenyewe halafu mnasema nilikuahidi ndoa. Pia ninayehenyeka kiuchumi ni mimi sio wewe, sijawahi kumuona mwanamke yeyote anipe zawadi au kunisaidia mimi ila wao sasaπππ, huwezi amini mtu kaolewa lakini akiwa na shida ya kiuchumi anakufuata wewe wakati mtu anamme wake. Siunamdhalilisha mmewe, naukimuuliza mmewe anajua anakwambia yeye hausiki, seriously πππ, yaani mnaubinafsi acheni. Ndoa sio neno tu ni ibada takatifu.Wewe una wanawake wangapi umewatumia kwa ahadi ya ndoa na hujawaoa? Mkiacha ubinafsi dunia itakuwa sehemu salama.
Kumbe una makasiriko pole!! ByeeNimuahidi mwanamke ndoa mimi sina akili au sijui kuingia kwenye ndoa ni nini. Sijawahi kuahidi mwanamke ndoa ila wao ndio hulazimisha ndoa. Halafu ubinafsi upo wapiπππ, hivi mnajua wanawake sikuizi mnalazimisha kulala na mwanaume wenyewe halafu mnasema nilikuahidi ndoa. Pia ninayehenyeka kiuchumi ni mimi sio wewe, sijawahi kumuona mwanamke yeyote anipe zawadi au kunisaidia mimi ila wao sasaπππ, huwezi amini mtu kaolewa lakini akiwa na shida ya kiuchumi anakufuata wewe wakati mtu anamme wake. Siunamdhalilisha mmewe, naukimuuliza mmewe anajua anakwambia yeye hausiki, seriously πππ, yaani mnaubinafsi acheni. Ndoa sio neno tu ni ibada takatifu.
Hapana sista, ilaacheni lawamaπππ.Kumbe una makasiriko pole!! Byee
Inashangaza na bado anamsaidiaKama mtu hawezi kuolewa kisa weakness yako hakufai kwenye shida na raha mteme
Usishughulikie Tetesi tafuta ukweli kutoka kwa muhusika na hata bila kuambiwa utajua tu kama mtu anakutaka au hakuaki (akufukuzae akwambii toka)Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake
Kama anasema hayo case closed (ndoa ni ya wawili na sio mmoja) kwahio kama hataki sio mimi, wewe au ushauri wa yoyote anayeweza kubadilisha msimamo wake, ila kama unajua unaweza kumbadilisha all the best, anyway inategemea ni kiziwi kiasi gani unaweza ukapata hearing aids na wala isiwe issue sanaanasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Sasa mtu hataki kuolewa na wew,tena unaomba ushauri watu eti utafanyaje!! Haya mfunge kamba umburuze mpk kanisan au msikitin.Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.
Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.