Sasa itakuwa forum ya kikabila na mimi ntataka ya Wachagga tu na mwingine vilevilešNa Mimi naomba lianzishwe jukwaa la wasukuma tuu
ndio kwanza naliona, ni kinyarwanda kitupu, bora wangeandika hata kwa kifaransa tungeweza kuchangia mada za huko. Hicho kinyarwanda wengine hatuelewi hata sentensi mojaKumbe kuna Rwanda forum