Ushauri: Ianzishwe Wizara ya Mafuta na Gesi ili kuchochea ukuaji wa sekta ya mafuta na gesi Tanzania na Waziri awe Profesa Muhongo

Ushauri Mzuri, ila suggestion ya Muhongo awe Waziri ni ya Hovyo kabisa.

Waziri aelikua dalali wa vitalu vya Gas, alietaka kuiua Tazama ili mafuta ya zambia yapelekwe kwa Maroli ya wale marafiki zake Waarabu...Waziri alietaka kupandisha bei ya Umeme ikabidi JPM amtumbue....Waziri asieamini ktk Local content na kuwainua watanzania wenzake, wa nn huyo?
 
Na umesahau kuweka namba ya simu ili tukukumbuke kwenye teuzi za wakurugenzi.
 
Wazo mujaraabu kabisa, lakini kwanini awe mzee muhongo tu.. So akizungumza fa na hiyo wizara ife.. Ingekuwa vizuri ukaishia hapo kwenye wazo tu, huyu muhongo ameshakuwa waziri qa nishati alifanya nini cha maana!? [emoji849][emoji848]
 
Na umesahau kuweka namba ya simu ili tukukumbuke kwenye teuzi za wakurugenzi.
namba ya simu ya nini mkuu, unadhani nataka uteuzi. Wengi tutaendelea kuisapoti serikali pale inapokwama.
 
Wazo mujaraabu kabisa, lakini kwanini awe mzee muhongo tu.. So akizungumza fa na hiyo wizara ife.. Ingekuwa vizuri ukaishia hapo kwenye wazo tu, huyu muhongo ameshakuwa waziri qa nishati alifanya nini cha maana!? [emoji849][emoji848]
Muhongo amefanikisha mengi mkuu, hilo bomba la gesi kutokea Mtwala lilijengwa enzi zake. Yeye si ndiye aliyekwenda Uganda kuwa konvisi bomba la, mafuta lipite Tanzania akawashinda wakenya mkuu.
 
Profesa Muhongo ana kiburi cha kitaaluma (academic arrogance), hafai kuwa Kiongozi.

Karama za Uongozi zimempitia mbali kwa kuwa hayuko tayari kupokea mawazo mbadala hasa kutoka kwa mtu aliyemzidi elimu.
 
Profesa Muhongo ana kiburi cha kitaaluma (academic arrogance), hafai kuwa Kiongozi.

Karama za Uongozi zimempitia mbali kwa kuwa hayuko tayari kupokea mawazo mbadala hasa kutoka kwa mtu aliyemzidi elimu.
kivipi mkuu
 
Profesa Muhongo ana kiburi cha kitaaluma (academic arrogance), hafai kuwa Kiongozi.

Karama za Uongozi zimempitia mbali kwa kuwa hayuko tayari kupokea mawazo mbadala hasa kutoka kwa mtu aliyemzidi elimu.
Fafanua vizuri hicho kiburi chake kikowapi.
 
kivipi mkuu
Muhongo anaweza akajuwa mawe na miamba na UCHAFU wote kwenye miamba lakini hana karama ya uongozi. Uongozi watu huzaliwa nao na wengine hujifunza. Prof Muhongo hakujaliwa na isitoshe ameshindwa kujifunza.

Tuliofanya naye kazi akiwa Lecturer UDSM tunamjua
 
Fafanua vizuri hicho kiburi chake kikowapi.
Angalia majibu alikuwa anajubizana na akina Bilionea Reginald Mengi akiwa Waziri wa JK kuhusu uwekezaji kwenye gas and oil.

Alisema Watanzania Wana hela ya kubadili mboga tu hawana hela ya kuwekekeza kwenye gas and oil
 
Kama kuanzisha Wizara ni kigezo cha kukuza sector hii leo hii Kuwa Mkulima isingekuwa kigezo cha Mwanao kukopeshwa na Bodi ya Mikopo kama mtoto wa Mlalahoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…