Ushauri: Ianzishwe Wizara ya Mafuta na Gesi ili kuchochea ukuaji wa sekta ya mafuta na gesi Tanzania na Waziri awe Profesa Muhongo

Ushauri: Ianzishwe Wizara ya Mafuta na Gesi ili kuchochea ukuaji wa sekta ya mafuta na gesi Tanzania na Waziri awe Profesa Muhongo

Wizara ya Nishati inafanya nini?
TPDC je?
PURA?

Labda uje na 'gap analysis'

hamna kabisa kitengo Serikalini cha kushughulikia suala la Gesi?.
 
Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.
Akiondoka Muhongo na wizara ifutwe
 
Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.

Mkuu TPDC kwa niaba ya Serikali si ipo?
Na Hayo yoote si naona Kama yapo na Yanasimamiwa na TPDC?
Kwa Maana Ya CEO wake?
 
Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.

Una Maoni Mazuri sana!
Ila Politics Haitakiwi...
Sasa Naona Majukumu ya wizara yatafanana na TPDC
Halafu
Wizara naona Kama itashibdwa lazima Iwe na Kampuni kwa ajili ya Kusimamia Hizo Activities
 
Kwa katiba hii na CCM hii hata malaika washuke hamna kitu...trust me.
 
Hii wizara iwe responsible kwenye mambo ya utafutaji (exploration), uzalishaji (production), usafishaji (refining), usambazaji (distribution), uuzaji (marketing), kuingizaji kutoka nje ya nchi (import), na utoaji kwenda nje ya nchi (export), pamoja na conservation of petroleum, natural gas, petroleum products, and liquefied natural gas Tanzania.

Maeneo muhimu ambayo ningependa hii wizara ihusike nayo ni haya yafuatayo.

1. Exploration and exploitation of petroleum resources, including natural gas (methane, helium)

2. Production, supply distribution, marketing and pricing of petroleum including natural gas and petroleum products.

3. Oil refineries, including Lube plants and natural gas plants.

4. Natural gas utilization to get valuable products.

5. Additives for petroleum and petroleum products.

6. Lube blending and greases.

7. Planning, development and control of, and assistance to all industries dealt with by the Ministry.

8. Planning, development and regulation of gasfield and oilfield services.

9. Administration of various Central laws relating to Petroleum and Natural Gas.

Ningependa wizara ya nishati ishughurikie mambo ya kuzalisha, kusambaza na kuuza umeme.

Ishughurikie uzalishaji wa umeme kutoka vyanzo mbalimbali mfano maji, gesi, joto ardhi, upepo, jua, mawimbi ya bahari n.k.

Huo ndio ushauri wangu,
Ninahisi ikiwa hivi tutaipunguzia wizara ya nishati mzigo, na tutaongeza ufanisi na ukuaji katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Nina imani Prof. Muhongo amejifunza hawezi kufanya ujanja tena. Nimempendekeza yeye kwasababu bwana Muhongo ana passion na mambo ya mafuta na gesi kwa hivyo atafanya kazi kwa bidii ili kuendeleza sekta hii Tanzania.

Karibuni kwa maoni.
Mkuu,

Nafikiri kwenye mapendekezo yako inaonesha kwamba unamatarajio ya kuwa na maslahi kupitia kwake.

Huyo mtu hafai kuwa waziri kwa sababu ana majivuno, mmbinafsi, mwenye kiburi cha elimu na dharau kwa wasio na taaluma yake ya jiolojia.

Ana lugha ya kutweza wengine kana kwamba yeye ndio alipozaliwa alimilikishwa taaluma ya jiolojia pekee na kwamba pasipo yeye hakuna mafanikio.

Huyo mtu anafaa kwenye taasisi za kimataifa tu kwenye nafasi ya utendaji (CEO).

Kumbukumbu zinakataa labda kama kunawilisha mabo yasiyofaa chini ya uangalizi wake.
 
Majina huumba, Muhongo ni mwongo balaa.
Mimi na mke wangu ni ma profesa tupeni Nchi muongozwe na ma profesa CV zetu ni wastani wa tani moja gari ndogo haiwezi zifikisha Dunia ina nitambua me ndio Rais wao kwenye masuala ya miamba na mafuta!
Leo mtu kama Ole sendeka ana bishana na mimi wakati ata Darasa la saba alifeli in muongo voice
 
Mkuu,

Nafikiri kwenye mapendekezo yako inaonesha kwamba unamatarajio ya kuwa na maslahi kupitia kwake.

Huyo mtu hafai kuwa waziri kwa sababu ana majivuno, mmbinafsi, mwenye kiburi cha elimu na dharau kwa wasio na taaluma yake ya jiolojia.

Ana lugha ya kutweza wengine kana kwamba yeye ndio alipozaliwa alimilikishwa taaluma ya jiolojia pekee na kwamba pasipo yeye hakuna mafanikio.

Huyo mtu anafaa kwenye taasisi za kimataifa tu kwenye nafasi ya utendaji (CEO).

Kumbukumbu zinakataa labda kama kunawilisha mabo yasiyofaa chini ya uangalizi wake.
Mimi nimpenda maendeleo wala sina maslahi yoyote mkuu.
 
Mimi na mke wangu ni ma profesa tupeni Nchi muongozwe na ma profesa CV zetu ni wastani wa tani moja leo mtu kama Ole sendeka ana bishana na mimi wakati ata Darasa la saba alifeli in muongo voice
😅 🤣 🤣✍️
 
Nathani humjui Mhongo, ni mtu mwenye uwezo kiakili ya academic lakina hana leadership skill ana arogance hawezi unganisha wotu sehemu ya kazi anamatusi ya hovyo sana. Kwa kifupi huyu anatakiwa kwenye nafasi ya utendaji awe na mtu wa kumsimamia. Muhongo anakiburi na dharau sana.
 
😅 🤣 🤣✍️
Ninapo ongea chukuweni kalamu na karatasi muandike mimi ni msomi na wafadhili wenu wana nijuwa mimi ni msomi!
kuchoraonga kwenye kina kirefu tundu moja ni dola za Kimarekani 1m unahitajika kuchoraonga tundu 12 sawa na dola milioni 12 hakuna mtanzania anaye weza wawekeze kwenye juice in muongo voice! dah
 
Nathani humjui Mhongo, ni mtu mwenye uwezo kiakili ya academic lakina hana leadership skill ana arogance hawezi unganisha wotu sehemu ya kazi anamatusi ya hovyo sana. Kwa kifupi huyu anatakiwa kwenye nafasi ya utendaji awe na mtu wa kumsimamia. Muhongo anakiburi na dharau sana.
Hahahahaaaaaaa
 
Ninapo ongea chukuweni kalamu na karatasi muandike mimi ni msomi na wafadhili wenu wana nijuwa mimi ni msomi!
kuchoraonga kwenye kina kirefu tundu moja ni dola za Kimarekani 1m unahitajika kuchoraonga tundu 12 sawa na dola milioni 12 hakuna mtanzania anaye weza wawekeze kwenye juice in muongo voice! dah
😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom