Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

Kuna wakati kama binaadam mwenye utashi yapasa ufanye maamuzi ya kipekee.
Mataragio ajiulize ni kipi ana gain kuendelea na hiyo nafasi. Ikiwa ni kwa mapenzi na uzalendo kwa nchi yake, basi inabidi akae kitako na mteule wake amweleze wabaya wasiomtaka akalie hicho kiti, ikiwa ni bodi ya wakurugenzi inamnyima uhuru itenguliwe haraka sana. Ikiwa ni wadau ktk sekta basi asiingiliwe ktk utekelezaji wa majukumu yake yaani sheria ifuate mkondo wake kwa masrahi mapana ya nchi.

Rais asipokuelewa, temana na hiyo nafasi make inaharibu cv yako. Rudi ughaibuni kafanye kazi na watu wanaoheshimu nafasi na taaluma ya mtu.
Ukiendelea kung'ang'ania watakuuwa hao wahujumu uchumi.
 
Hakuna mbongo mwenye guts za kukataa pesa. hayupo
wewe mwenyewe usingeacha
Mataragio is a professional, Kikwete alivyomleta nchini hakumuokota jalalani; alikuwa marekani ambako alikuwa na kazi yake ya heshima lakini UZALENDO ndio ukamleta nchini!! Hata hili lililomkuta sasa nadhani ni fitina tu za watu wenye roho mbaya ndio wamesababisha mvurugano huu; naona mkono wa Kikwete kusalvage hii situation. Jamaa ni mtendaji mzuri sio mtu wa kupenda cheap publicity.

Mataragio should seek an audience with the President and have a frank discussion about the problems he is facing in performing his duties. It is obvious the board of directors of TPDC is the problem hence it should be disbanded.
 
Kuna wakati kama binaadam mwenye utashi yapasa ufanye maamuzi ya kipekee.
Mataragio ajiulize ni kipi ana gain kuendelea na hiyo nafasi. Ikiwa ni kwa mapenzi na uzalendo kwa nchi yake, basi inabidi akae kitako na mteule wake amweleze wabaya wasiomtaka akalie hicho kiti, ikiwa ni bodi ya wakurugenzi inamnyima uhuru itenguliwe haraka sana. Ikiwa ni wadau ktk sekta basi asiingiliwe ktk utekelezaji wa majukumu yake yaani sheria ifuate mkondo wake kwa masrahi mapana ya nchi.

Rais asipokuelewa, temana na hiyo nafasi make inaharibu cv yako. Rudi ughaibuni kafanye kazi na watu wanaoheshimu nafasi na taaluma ya mtu.
Ukiendelea kung'ang'ania watakuuwa hao wahujumu uchumi.
Swadakta
 
Kususa kwake hakutusaidii kama taifa, especially kama replacement ni aina ya kina Thobias.
Mtoa mada una uhakika wewe sio mmoja ya wanaomsagia kunguni? mmekuja kivingine?
 
Aende akawajoin tu familia yake maana wahuni ndani ya maccm wanaizengea sana hiyo nafasi pamoja na kuwa hawana sifa. Mshahara mnono na marupurupu mazuri sana yanawatia kiwewe.
Hii ni kwa sababu Mamlaka ya Uteuzi haikuamini tena na ndio maana nafasi yako akapewa mtu mwingine , Kilichotokea ni kwamba huyo aliyepewa nafasi yako ameonekana kituko , duni na hatoshi na ndio maana ametenguliwa ukarudishwa tena , hii haimaanishi wewe unafaa , jiongeze mwenyewe ndugu.

Wewe umekuwa kama mbuzi wa Shughuli , awamu iliyopita uling'olewa na kuswekwa Rumande kwa muda kutokana na tuhuma za Uhujumu uchumi , kabla ya kutolewa Jela na Rais aliyepita na kurejeshewa cheo chako , Magufuli alisema hauhusiki na tuhuma ulizopewa.

Hivi hujiulizi nani anayekuhujumu kiasi hicho na anakutakia kitu gani ? kwanini usijiokoe mwenyewe kwa kuwaachia cheo chao ? mbona kuna maisha mengine baada ya hivyo vyeo vya kidunia ambavyo ni vya kupita tu !
............

ANGALIA VIELELEZO HIVI HAPA.

View attachment 1744070

View attachment 1744072
 
Mataragio is a professional, Kikwete alivyomleta nchini hakumuokota jalalani; alikuwa marekani ambako alikuwa na kazi yake ya heshima lakini UZALENDO ndio ukamleta nchini!! Hata hili lililomkuta sasa nadhani ni fitina tu za watu wenye roho mbaya ndio wamesababisha mvurugano huu; naona mkono wa Kikwete kusalvage hii situation. Jamaa ni mtendaji mzuri sio mtu wa kupenda cheap publicity.

Mataragio should seek an audience with the President and have a frank discussion about the problems he is facing in performing his duties. It is obvious the board of directors of TPDC is the problem hence it should be disbanded.
i dont think the board of directors is problem. there is a leak within vetting team.
how in hell does somebody anataka kupenyeza jina la mtu ambae hana qualifications
 
Aende akawajoin tu familia yake maana wahuni ndani ya maccm wanaizengea sana hiyo nafasi pamoja na kuwa hawana sifa. Mshahara mnono na marupurupu mazuri sana yanawatia kiwewe.

Mataragio uzalendo unamtesa. The guy was earning by far more in the states than what they are paying him in Bongo!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
I hope he’ll make the right decision to rejoin his family.
Mataragio uzalendo unamtesa. The guy was earning by far more in the states than what they are paying him in Bongo!!
 
I hope he’ll make the right decision to rejoin his family.
I would not advise him to do that, it would be a betrayal to the country and victory to these stupid people!
 
Wanaosema Mataragio asuse si wazalendo, hawana tofauti na hao wanaomtilia majungu.

Wanataka Mataragio asuse ili wao wale.
 
Ndo raha ya Jf ila kibinafamu kuna hoja hapa ni nani yuko nyuma ya huyu mtu na kwanini marais wote wamehaki kwenye kumetengua Ni vr aonane naMh Rais
 
Mataragio siyo wa kispotispoti. Anayo CV kali. Na Iternational working experience na mshahara mkubwa. Hata TPDC sijui kama analipwa kama alivyokuwa analipwa nje ya nchi. Kurudi nyumbani kuja kuokoa jahazi la TPDC alirudi kwa heshima kwa kuwa aliombwa. Sasa sielewi mamlaka zinayumbaje? Sad
Sio mamlaka inayumba,kuna mifisadi hiyo iko jino kwa jino,mama awe makini sana
 
Mkuu kwani wao ni kina nani, mwache Dkt. atumikie nchi yake, angalau kwa sasa watu tuko macho kulinda watu kama hao dhidi ya figisu za wapiga dili...
 
Sio mamlaka inayumba,kuna mifisadi hiyo iko jino kwa jino,mama awe makini sana
Vinavyo mponza ni Vitalu vya mafuta na Gas. Na hata huyo aliye tenguliwa bado angepambana sana na wataka blocks za Gas na mafuta.

Hili tatizo sio Tanzania tuu ni duniani kote, mamlaka za utoaji leseni za Maliasili za Mafuta ( hasa hydro carbon ) Wakuu wake wanasumbuliwa sana.

Makampuni wanayo yasimamia yana mapesa mengi( mfano ExxonMobil ni tajiri kuliko nchi zote za Africa kwa ujumla wake) na wakuu wa mamlaka hizi hukaa katika nafasi zao kwa muda mrefu sana.

Sheikh Zaki Yamani wa Saudi Arabia ilikaa miaka 26 na alifukuzwa kama kuku. Ila hutokea kuwa matajiri sana katika nchi zao.
 
Back
Top Bottom