Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.

Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.

Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.

Cheap is expensive.
Sasa hivi kimenuka unawakataa Waarabu wajenzi wa bwawa!
 
Halafu sasa ilikuwa ukiwasikiliza Makamba na MD wa TANESCO; sisi tunafanya mambo kisayansi tuna team nzuri ya project management.

Sasa ‘project management’ ya mradi kama huo unatarajia ina organisation strurcture yake amongst its members a ‘designer/quality manager’ wa project. Kwa mradi kama huo team yake walau iwe ni civil engineer na mtaalamu wa fluid mechanics.

Kabla ya mradi kuanza mnakubaliana viwango vya kazi na mkandarasi, yote yanakuwa kwenye mkataba wa ‘project charter’. Jukumu la quality manager na team yake ni kutupia jicho katika kila task as it develops kuhakikisha kazi inafanyika kwa viwango vya makubaliano.

Iweje leo tuambiwe bwawa linanyufa tayari; hao wahusika walikuwa wanashughuli ya kusimamia nini huko. Mind you uwezi compromise quality ya mradi au kufanya diverge from the initial project charter bila ya baraka za client.

Kwa kifupi ni kwamba contractor walikuwa wanauwezo wa kulipua kazi kwa sababu wasimamizi wetu ni tia maji tia maji hawana uelewa wa bench marks za quality ya tasks wanazosimamia. That’s the logical explanation.

Si tungepeleka team yetu hata Ethiopia kupewa elimu ya usimamizi kuliko huu upuuzi unaojitokeza, better still tungemleta tu project manager aliesimamia bwala lao ajekutusaidia kama consultant wa TANESCO.

Hakuna kitu watanzania tunaweza.,

Kusoma mambo na kuiga, hakukupi uelewa mpana unaonafanana na anaeandika hayo. Just get diaspora back kwenye hiyo nchi.
 
Nyufa siyo tu hazitakiwi kuonekana bali hata kutajwa katika bwawa kubwa na jipya, kwani madhara yake ni makubwa mno kuanzia maisha ya watu, viumbe wengine, mazingira na kiuchumi.

Hata hivyo, ujenzi unaokabiliwa na msukumo wa kisiasa zaidi kuliko utaalamu, lolote laweza kutokea.
Kuanzia kwenye wazo la mradi, kuchagua mkandarasi mpaka utekelezaji wa mradi wanaoonekana ni wanasiasa pekee. Watanzania hawajapewa hata fursa ya kumfahamu msimamizi mkuu (manager) wa mradi kwa upande wa Tanzania.

Kila siku tunaimbiwa jiwe kafanya au Samia kapiga mwingi. Tuamze na hawa watupe majibu ya kina. HILI AKIKAA KIMYA NAAGIZA JESHI LIMWONDOE
 
Umesema iundwe kamati huru ya bunge. Bunge lipi? Hili la NDIYOOOO au la India?
Shauri wewe nini kifanyike Ili kupata chanzo na suluhu ya jambo hili.

Nchi hii ni yetu sote, madhara ya kubomoka Bwawa/ ziwa lile ni makubwa sana.

Tuliona Ukraine Bwawa likibomolewa Kwa kombora, ilikuwa ni catastrophy!!
 
Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.



Cheap is expensive.

Najua linapokuja swala lolote huwa lazima umchomeke mwendazake na huwa unaandika ukiwa umefura kwa hasira nae.Basi rekebisha hiyo aya ili maneno yasomeke vizuri.
 
Back
Top Bottom