Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Kamati ya bunge ni hatua ya juu sana.
Ningeliona angalau picha ya hizo nyufa ningelitoa mchango constructive kuhusiana na hizo nyufa. Inawezekana zikawa ni za juu juu ambazo usababishwa na rapid shrinkage ya zege ama sign of structural failure.
Otherwise nitakuwa kama politician
 
Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.

Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.

Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.

Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.

Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .

NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.

Nawasilisha.🙏

Amen.
Mwezi wa kwsnza katolewa faster ili kumuepusha na kikombe cha nyufa halafu aliyeletwa amepewa rushwa ya unaibu whip upande wa serikali.....


Tatizo ni CCM maana ndiyo iliyowalea na kuwaleta haya majambazi yatumalize
 
Halafu sasa ilikuwa ukiwasikiliza Makamba na MD wa TANESCO; sisi tunafanya mambo kisayansi tuna team nzuri ya project

Yule MD wa TANESCO wa sasa hivi ana maneno mengi mno wakati utendaji ni tia maji tia maji.Walikuwa wanapokezana na boss wake Kipara kuwananga watendaji wa TANESCO na wizara waliopita.Sasa hivi tupo kwa mgao mkali na yeye kakaa kimya kama hayupo vile.
 
Hebu engineers waje kutupa taaluma hapa, hivi si kuna kile kipindi kinaitwa defects liability period ambapo mkandarasi anatakiwa kurekebisha shida zote zilizojitokeza kabla ya kukabidhi final? Au nimekosea? Mimi siyo engineer.

Uko Sahihi mkuu, watu wa technical wanaosimamia hiyo project Wanalitambua hilo, hiyo ya Dotto biteko ni just ushauri tu.

All in all hiyo ni shida, Nyufa kwenye structure kubwa kama hizo tena as soon kama hii haikutakiwa kabisa, probabily kuna discrepancies zipo apo, time will judge
 
Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.

Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.

Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.

Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.

Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .

NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.

Nawasilisha.🙏

Amen.
Bahati mbaya hatuna serikali wala bunge bali kikundi cha wahuni walioteuliwa na marehemu kichaa yule,
 
Kamati ya bunge ni hatua ya juu sana.
Ningeliona angalau picha ya hizo nyufa ningelitoa mchango constructive kuhusiana na hizo nyufa. Inawezekana zikawa ni za juu juu ambazo usababishwa na rapid shrinkage ya zege ama sign of structural failure.
Otherwise nitakuwa kama politician
Rejea thread: Bwawa la Nyerere, Naibu waziri mkuu aelezwa mbinu ya kuzuia maji ya Bwawa kuvunja maji- Bagamoyo.

Pia rejea: Bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere,limeanza Kutoa nyufa- Peno hasenagwa.
 
Rock fill dams kwa asilimia kubwa huwa zinapata cracks na sababu huwa ni mabadiliko ya hali ya hewa (temperature changes)...QA/QC ya reinforced concrete ya zile blocks zote na wings (left and right) pamoja na plungle pool je zilifanyika kwa kiwango kipi hapo ndiyo panatakiwa kuwekwa wazi mapema. Dam failure is terrible.
 
Niliwahi kusema humu enzi zile Kipara na watu wake wanajifaragua kwamba kasi ya ujenzi imeongezeka mara mbili zaidi awamu hii ya sita.

Mapungufu yakianza kuonekana hapo msianze porojo,wakati mnahujumiwa hapo mlikuwa wapi ilhali tuliambiwa ufuatiliaji umeongezeka kiasi mmefunga hadi camera hapo site!
 
Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.

Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.

Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.

Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.

Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .

NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.

Nawasilisha.🙏

Amen.
Nyufa zinamhusu mkandarasi, awajibike
 
Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.

Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.

Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.

Cheap is expensive.
Bandari zetu na Ngorongoro yetu pia tumulaumu Magufuli siyo?
 
Rejea thread: Bwawa la Nyerere, Naibu waziri mkuu aelezwa mbinu ya kuzuia maji ya Bwawa kuvunja maji- Bagamoyo.

Pia rejea: Bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere,limeanza Kutoa nyufa- Peno hasenagwa.
Thread ya hapa ni kuunda kamati ya bunge kuhusu hizo cracks. Ndiyo maana nimeomba kupata picha halisi ya hizo cracks ili tuangalia uhalali wa kuingiza kamati ya Bunge
 
Back
Top Bottom