Kuna wachezaji watakuja na lawama kwa Tundu Lisu au SlaaTumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.
Ujinga wa kurithi wakati unazaliwa ni mbaya sana wallahWakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.
Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.
Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.
Cheap is expensive.
Rejea thread:Bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere, limeanza Kutoa nyufa-Peno hasenagwa. Picha zipo pale.Thread ya hapa ni kuunda kamati ya bunge kuhusu hizo cracks. Ndiyo maana nimeomba kupata picha halisi ya hizo cracks ili tuangalia uhalali wa kuingiza kamati ya Bunge
Kumbuka aliyeanzisha ujenzi huo kwa sasa ni Marehemu huko Chato. Labda anyongwe Kalemani tuWakibainika kuhujumu Bwawa WANYONGWE hadharani.
Kama kiongozi wetu anaogopa kutia sahihi anaweza kukaimisha KAZI hiyo Kwa wazalendo wenye ujasiri.
Ndo ufanyike uchunguzi wa kamati huru maalum Ili kujua Chanzo na hatua stahiki za kuchukuliwa Kwa wahusika.Kumbuka aliyeanzisha ujenzi huo kwa sasa ni Marehemu huko Chato. Labda anyongwe Kalemani tu
Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.
Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.
Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.
Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.
Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .
NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.
Nawasilisha.[emoji120]
Amen.
Faiza ni fisadi haamini katika uchunguzi mtandao wake wa wizi utagundulikaMada inashauri uchunguzi ufanyike kubaini tatizo, haisemi nani alaumiwe Kwa nyufa zilizojitokeza.
Pale Mwanza ulikuwepo mti wa kunyongea watu hadharani enzi za ukoloni,Sabotage Manifesto ...kipara on the Run....
Wanatuona MANYANI cc Sifael Mbarikiwa.Washatuonaga kenge ...
✓ ripot ya cag kimya
✓katiba kimya
✓mfumuko wa bei
✓
😂😂😂
Hakika wewe ni mbwa koko konki kabisa,Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.
Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.
Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.
Cheap is expensive.
Demu pumbavu sana huyuMada inashauri uchunguzi ufanyike kubaini tatizo, haisemi nani alaumiwe Kwa nyufa zilizojitokeza.
OK. Nitaitafuta hiyo threadRejea thread:Bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere, limeanza Kutoa nyufa-Peno hasenagwa. Picha zipo pale.
Well saidHalafu sasa ilikuwa ukiwasikiliza Makamba na MD wa TANESCO; sisi tunafanya mambo kisayansi tuna team nzuri ya project management.
Sasa ‘project management’ ya mradi kama huo unatarajia ina organisation strurcture yake amongst its members a ‘designer/quality manager’ wa project. Kwa mradi kama huo team yake walau iwe ni civil engineer na mtaalamu wa fluid mechanics.
Kabla ya mradi kuanza mnakubaliana viwango vya kazi na mkandarasi, yote yanakuwa kwenye mkataba wa ‘project charter’. Jukumu la quality manager na team yake ni kutupia jicho katika kila task as it develops kuhakikisha kazi inafanyika kwa viwango vya makubaliano.
Iweje leo tuambiwe bwawa linanyufa tayari; hao wahusika walikuwa wanashughuli ya kusimamia nini huko. Mind you uwezi compromise quality ya mradi au kufanya diverge from the initial project charter bila ya baraka za client.
Kwa kifupi ni kwamba contractor walikuwa wanauwezo wa kulipua kazi kwa sababu wasimamizi wetu ni tia maji tia maji hawana uelewa wa bench marks za quality ya tasks wanazosimamia. That’s the logical explanation.
Si tungepeleka team yetu hata Ethiopia kupewa elimu ya usimamizi kuliko huu upuuzi unaojitokeza, better still tungemleta tu project manager aliesimamia bwala lao ajekutusaidia kama consultant wa TANESCO.
Hakuna kitu watanzania tunaweza.,
Kusoma mambo na kuiga, hakukupi uelewa mpana unaonafanana na anaeandika hayo. Just get diaspora back kwenye hiyo nchi.
Na Ndugu yake Chai Maharage![emoji24] kipara yukowapi, huyu jamaa hajawahi kuwa mzalendo hata dakika moja
Hivi wewe akili ulizipeleka wapi? Sasa Sukuma gang wamehusikaje hapo?Interesting....
Na akikuta hujuma ni ya sukuma gang wenzie aseme Tu bila kuficha...
Hii hujuma iliripotiwa hapa miezi zaidi ya mitatu kabla haijatokea
Yule Mnyarwanda,hamna Mnyakyusa mwembamba namna Ile!Bunge la yule demu wa kinyakyusa mwenye mwili kama Tegu litakuwa na maajabu gani